Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
- #121
Basi we ni mkongweHapakua na elimu ya awali kipindi changu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi we ni mkongweHapakua na elimu ya awali kipindi changu
Sawa mkuuSikusoma chekechea Wala sikufundishwa nyumbani,Ila kufika la tatu hakuna ambaye hakujua kusoma, kuandika na kuhesabu,hongera bibi muhande popote ulipo,ulinifundisha Mimi, kigwangala,bashe na amos makala
ID yangu itafuchuka na watu watajua umri na kusema "nenda Fesibuku ukachat na watoto wenzako" sitotaja kamwe ila kisummary ni Dar es Salaam wilaya ya Temeke.Wa shule Gani na mwaka Gani mkuu!!?
Basi ibaki hivyo hivyo mkuuID yangu itafuchuka na watu watajua umri na kusema "nenda Fesibuku ukachat na watoto wenzako" sitotaja kamwe ila kisummary ni Dar es Salaam wilaya ya Temeke.
Mayala hana ubaya.Ujanani alifundishwa kutokuwa mwepesi kukasirika.Walimtoa hasira.USikhofu
"Stupid" ya mama siyo Kali na ya laana kama ya JPm
Si unaona paschal Mayala tangu aiitwe Mayala na JPM anabung'aa tu mjini
Basi Mungu atampa sawa sawa na hitaji la moyo wakeMayala hana ubaya.Ujanani alifundishwa kutokuwa mwepesi kukasirika.Walimtoa hasira.
Naamini ataitika Aamin popote alipo.Basi Mungu atampa sawa sawa na hitaji la moyo wake
Ila apunguze zile post zake ndefu kama barua za yule maandishi wa kile kitabu Cha "Barua Ndefu Kama Hii"Naamini ataitika Aamin popote alipo.
Wa shule Gani!?Mwalim RICHARD RIP
Huko mwanza shule kapuniWa shule Gani!?
AhahaaahHuko mwanza shule kapuni
Kabisa.Maana Pascal ni kiboko.Hata kama anataka kukupa mfano nao atautolea mfano wenye references zake kama tano hivi.Hapo bado hajakupeleka anapotaka kukuelewesha!Mbona unaweza kuaga uende zako kilabuni ukanywe komoni tu.Ila apunguze zile post zake ndefu kama barua za yule maandishi wa kile kitabu Cha "Barua Ndefu Kama Hii"
Mpaka Mimi kujua wewe Unaitwa kilimbatzz ni juhudi zakeAhahaaah
Sawa mkuu alikufanyia nin mpaka unamkumbuka Leo!?
Fupi na tamuKabisa.Maana Pascal ni kiboko.Hata kama anataka kukupa mfano nao atautolea mfano wenye references zake kama tano hivi.Hapo bado hajakupeleka anapotaka kukuelewesha!Mbona unaweza kuaga uende zako kilabuni ukanywe komoni tu.
Shikamoo mwalimu RichardMpaka Mimi kujua wewe Unaitwa kilimbatzz ni juhudi zake
Ndugu yangu ningemtafuta sema Alisha tangulia mbele za hakiShikamoo mwalimu Richard
Kamtafute umpe zawadi mkuu
Sisi wahenga tulianza moja kwa moja darasa la kwanza hasa kwa sisi wa vijijini. Hakuna cha chekechea wala shule ya awali. Chekechea kwa ninyi wa miaka kuanzia 80's kuendeleaMimi namkumbuka Mwl. Minja.
Yule mama Mungu ampe maisha marefu, kuna siku moja nilitaka kujisaidia haja ndogo ila zipu ya mkaputura wangu ukagoma kushuka chini!
Yule mama aliponiona nalia kwa kuhofia nitajikojolea akaja akanituliza kwanza. Akaniuliza shida nini, nikamwambia zipu imegoma kushuka chini hivyo muda wowote nalimwaga kojo.
Hakunisema wala kunipiga, ila alifungua zipu yangu na kuishusha chini kisha akakishika kibamia changu akakielekezea kwenye shimo moja ndani ya Darasa la kwanza pale Makurumla Primary School mwaka 1995, sitamsahau kwa hilo.
Popote ulipo mama Mungu akubariki.
View attachment 2574955View attachment 2574956
Bora akupe za uso kwenye hoja kwa hoja.Sasa,nilitamani kumwambia binti yangu kabisa neno.Tulibishana jambo kidogo JF.Aliniporomoshea matusi kama gunia nne hivi.Mungu haishi Rau Madukani pekee!Kabla hajarudi shule Januari nikakuta simu yake yupo JF.Nikabaini hadi id yake.Nilicheka sana ila sijawahi kumwambia.Anampenda JPM ile mbaya.Dah, humu tunaishi na watoto wetu kama sio wapwa wetu 95 uko chekechea duh!
Sema madogo wa sa hivi mnajua mengi mnaweza kumtoa knockout mtu mzima. Mi siku hizi sitaki ligi na madogo wanaweza kukudhalilisha hivihivi watoto wa GPT hawa wanajua mengi.