Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Sijui nitampataje, lbd kama kuna mjukuu wake hapa ajitokeze nina zawadi kwa mwalimu wangu.Ukipata muda mtafute umpe Asante mkuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui nitampataje, lbd kama kuna mjukuu wake hapa ajitokeze nina zawadi kwa mwalimu wangu.Ukipata muda mtafute umpe Asante mkuuu
Noma sana hao maticha sampuli ya maza.Utajua kusoma,kuandika,kuhesabu na kuendelea na madarasa ya juu bila ngendembwe.Hawana ubaya wowote ule.Aahahaha
Dah those golden days won't return to be enjoyed again
Walimu wa upe hao
Hizo Adidas zimechana sana mashati ya shule mabeganUwiiii😆😆😆😆😆😆😆 kuweka mgongoni nimekumbuka mbaliii
Tumezaliwa*Hongera mkuu
Mmezaliwa mapacha au umewazaa wewe hao mapacha!?
🤚Sijui nitampataje, lbd kama kuna mjukuu wake hapa ajitokeze nina zawadi kwa mwalimu wangu.
😜😜😜Kuna hawa watoto wetu ukiwauliza bikari ni nini?Hawajui.Mambo ya mkebe hayo aka kompasi/compass!Hizo Adidas zimechana sana mashati ya shule mabegan
Kuna inatengeneza mistari Fulani inapita mabegani Hadi mgongoni
Wale ndiyo walikuwa real teachersNoma sana hao maticha sampuli ya maza.Utajua kusoma,kuandika,kuhesabu na kuendelea na madarasa ya juu bila ngendembwe.Hawana ubaya wowote ule.
Aaaaahhaj😜😜😜Kuna hawa watoto wetu ukiwauliza bikari ni nini?Hawajui.Mambo ya mkebe hayo aka kompasi/compass!
Shule niliyosoma Mimi hiyo mihogo wakiita marosti,yaani genge lenu mmoja akienda kununua wengine mnamlinda kwa nyuma,akigeuka na bakuli mnaanza kula mkienda,laa sivyo mtaachiwa mchuzi tu na wahuniShilingi hamsini?Unacheza wewe!Ada shilingi tano halafu uwe na hamsini?Madaftari na penseli bure.Niliwahi kununua sufuria la kapile(mihogo imepikwa na kuungwa nyanya mchuzi kwa wingi)kwa shilingi 20(tuliita mbao)tukafurahi na "magangwe" wenzangu hadi basi!
😂😂😂😂Hiyo tabia acha.Utajikuta unaiba fedha za umma kwenye sandarusi ufungwe.Maana mambo huanzia mbali.Utani huu!Aaaaahhaj
Nimeziiba sana hizo Kwa wanafunzi wenzangu aisee
Dah
AaaahahjMwalimu Mafaa, Shule ya msingi Mzimuni sasa Mikumi!!!!!!!!!!!!! Wahenga wa Magomeni na maeneo jirani mnamkumbuka huyu mama????????
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂Hiyo tabia acha.Utajikuta unaiba fedha za umma kwenye sandarusi ufungwe.Maana mambo huanzia mbali.Utani huu!
AhahaaaShule niliyosoma Mimi hiyo mihogo wakiita marosti,yaani genge lenu mmoja akienda kununua wengine mnamlinda kwa nyuma,akigeuka na bakuli mnaanza kula mkienda,laa sivyo mtaachiwa mchuzi tu na wahuni
Sikusoma chekechea Wala sikufundishwa nyumbani,Ila kufika la tatu hakuna ambaye hakujua kusoma, kuandika na kuhesabu,hongera bibi muhande popote ulipo,ulinifundisha Mimi, kigwangala,bashe na amos makalaWa zamani wengi hatukusoma awali/chekechea/vidudu.Walisoma wachache sana.Shule tulianzia nyumbani kufundishwa na ndugu,marafiki,wazazi na utunduutundu tu.
Afadhali.Maana unapewa wizara si muda.Na mama angekuita STUPID mbele ya umma.😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nikishaacha mkuu
Poa mkuuSijui nitampataje, lbd kama kuna mjukuu wake hapa ajitokeze nina zawadi kwa mwalimu wangu.
Hapakua na elimu ya awali kipindi changuAhahaaa