Unamkumbuka Mwalimu wako aliyekufundisha Elimu ya Awali?

Unamkumbuka Mwalimu wako aliyekufundisha Elimu ya Awali?

Ndugu yangu ningemtafuta sema Alisha tangulia mbele za haki
Watoto wake waiipata hiyo zawadi itakuwa poa sana

Miye nataka nimtafute mwalimu wa Civics form two pale Lake Secondary School Mwanza mwalimu Maduhu

Japo Kuna tetesi kuwa kafariki ila nitamwaga kreti ya bia kwenye kabuli lake

Maana alikuwa muda wote yupo njwiiiiiii

Hela itaayobaki nitawapa watoto au ndugu zake
 
Njogopa jina zuriii
Mngoni huyu. Mr Njogopa alikuwa nae mwalim wa hesabu shule fulani ya sec kule kibaha sasa sielewi kama unamzungumzia mkewe au Njogopa mwingine. Kama ni huyo mkewe alifariki ambae nae alikuwa mwalimu
 
Bora akupe za uso kwenye hoja kwa hoja.Sasa,nilitamani kumwambia binti yangu kabisa neno.Tulibishana jambo kidogo JF.Aliniporomoshea matusi kama gunia nne hivi.Mungu haishi Rau Madukani pekee!Kabla hajarudi shule Januari nikakuta simu yake yupo JF.Nikabaini hadi id yake.Nilicheka sana ila sijawahi kumwambia.Anampenda JPM ile mbaya.
Acha bwana 😮😮😮😂😂😂😂😂
 
Ni kweli.Kama sijasahau mwaka '85/'86 ulikuwa mibaya sana kwa chakula.Ingawa si hoja.Kwani haukupima mkono wa kulia kama unashika sikio la kushoto kupitia juu ya kichwa chako?Ila,wengi wa zamani walimaliza "vikongwe"!Mama yangu alinihadithia kwamba,alivyoanza ualimu alifundisha wanafunzi wanamzidi zaidi ya miaka mitano.Na ni wengi tu.Tulipokuwa pamoja njiani na kukutana nao nikawa nacheka kwa kugugumia wanavyomuamkia mama.😂😂😂😂😂
Unajiitaje mzee wakati mwaka 1985 nilikuwa btp hapo igumbiro primary? Huenda nilikufundisha nyimbo za mchakamchaka!
 
Mwl Njogopa, popote ulipo Madame, ubarikiwe sanaa, sitasahau nilikua naumwa ulitandika khanga yako nilale chini.

Ulikua unanambia nna kichwa chepesii, nna kariri vitu kwa haraka, afu sisahau, ulinitabiria nitafika mbali, ile taaluma yako ulitakaga niwe nayo, niliitoa nilipofika 4m 3. niko na taaluma nyingine.

Ulihama nikiwa std 3, sijawahi kukuona tenaa. Natamani nikuone nikupe zawadi, ule msingi uliojenga kwangu ni mkubwa mnoo.

[emoji120][emoji120][emoji120]
Zawadi gan?
unataka umsage sage?
 
Back
Top Bottom