Unamkumbuka Mwalimu wako aliyekufundisha Elimu ya Awali?

Unamkumbuka Mwalimu wako aliyekufundisha Elimu ya Awali?

Mwl Njogopa, popote ulipo Madame, ubarikiwe sanaa, sitasahau nilikua naumwa ulitandika khanga yako nilale chini.

Ulikua unanambia nna kichwa chepesii, nna kariri vitu kwa haraka, afu sisahau, ulinitabiria nitafika mbali, ile taaluma yako ulitakaga niwe nayo, niliitoa nilipofika 4m 3. niko na taaluma nyingine.

Ulihama nikiwa std 3, sijawahi kukuona tenaa. Natamani nikuone nikupe zawadi, ule msingi uliojenga kwangu ni mkubwa mnoo.

[emoji120][emoji120][emoji120]
Si jina jipya ikiwa wewe ni ukanda wa Songea, Basi akiwa ndiye ulizia walimu waliopo shule ya msingi ya jeshi Chabruma au Lilambo primary school kitu kama ni mratibu elimu kata kwa sasa if not mistaken
 
Wa zamani wengi hatukusoma awali/chekechea/vidudu.Walisoma wachache sana.Shule tulianzia nyumbani kufundishwa na ndugu,marafiki,wazazi na utunduutundu tu.
Na miye nikichelewa kuanza shule

Nilizaliwa mwaka 1986 nikaanza shule ya msingi 1995
 
"Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena"
šŸ‘†Hii kitu itakuletea shida 🤣🤣🤣
Hiyo ni nukuu ya Mpwayungu ni shemeji yangu yule

Nimeiweka hapa Ili Kila muda aione Ili abadilike
 
Back
Top Bottom