mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Ulikuwa kipanga nini!?
Hata sijuiš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa kipanga nini!?
Shule Gani mkuu na mwaka Gani mkuu !?Hata sijuiš
Wa zamani wengi hatukusoma awali/chekechea/vidudu.Walisoma wachache sana.Shule tulianzia nyumbani kufundishwa na ndugu,marafiki,wazazi na utunduutundu tu.Ulikuwa kipanga nini!?
Si jina jipya ikiwa wewe ni ukanda wa Songea, Basi akiwa ndiye ulizia walimu waliopo shule ya msingi ya jeshi Chabruma au Lilambo primary school kitu kama ni mratibu elimu kata kwa sasa if not mistakenMwl Njogopa, popote ulipo Madame, ubarikiwe sanaa, sitasahau nilikua naumwa ulitandika khanga yako nilale chini.
Ulikua unanambia nna kichwa chepesii, nna kariri vitu kwa haraka, afu sisahau, ulinitabiria nitafika mbali, ile taaluma yako ulitakaga niwe nayo, niliitoa nilipofika 4m 3. niko na taaluma nyingine.
Ulihama nikiwa std 3, sijawahi kukuona tenaa. Natamani nikuone nikupe zawadi, ule msingi uliojenga kwangu ni mkubwa mnoo.
[emoji120][emoji120][emoji120]
Ndio tumezaliwa mapacha jinsi tofautiAahaaajaj
Mkuu mlikuwa mapacha!?
Na Mimi ninao Doi na Kulwa
Na miye nikichelewa kuanza shuleWa zamani wengi hatukusoma awali/chekechea/vidudu.Walisoma wachache sana.Shule tulianzia nyumbani kufundishwa na ndugu,marafiki,wazazi na utunduutundu tu.
LolShule Gani mkuu na mwaka Gani mkuu !?
š¤£š¤£Nilifundishwa na mpwayungu village
Hongera mkuuNdio tumezaliwa mapacha jinsi tofauti
Ipo mkoa Gani!?Lol
Shule ya msingi Muungano
Mwaka nauhifadhi
Gwala la siver lina mtrekta halafu baadaye ikaja yenye nembo ya Mzee Mwinyi.Noti nyekundu ilikuwa shilingi mia kwa wakati wangu.Nisamehe mkuu
Shilingi Tano Ile inayofanan na elfu kumi ya sasa
Nikupitiwa tu
Shikamoo mkuuGwala la siver lina mtrekta halafu baadaye ikaja yenye nembo ya Mzee Mwinyi.Noti nyekundu ilikuwa shilingi mia kwa wakati wangu.
Ntamuanika hapa siku yake.Ahahahahah
Kumbe mpwayungu village nyupo TGTS C1 dah pole yake
Yeah!!ni huyohuyo bibi,maana tangu anifundishe chekechea ni zaidi ya miaka ishirini sasaHahaaaaaa, ni yule wa kiponzero au? Namfahamu huyo mama. Alistaafu huyo Senyenza.
AahaaajajNtamuanika hapa siku yake.
Haukuchelewa.Huo ni umri wa kibabe.Au ulikuwa andunje?Mere joke!Ma bad!Na miye nikichelewa kuanza shule
Nilizaliwa mwaka 1986 nikaanza shule ya msingi 1995
Nilikuwa mwembambaHaukuchelewa.Huo ni umri wa kibabe.Au ulikuwa andunje?Mere joke!Ma bad!