Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Namfahamu huyu ticha vizuri sana.Nimemkumbuka mwl. Makua from Solomon Mahlangu Rest in peace i will always remember you.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namfahamu huyu ticha vizuri sana.Nimemkumbuka mwl. Makua from Solomon Mahlangu Rest in peace i will always remember you.
Hongera zake mwalimu Kwa kukuza msomi mahili kama wewe mkuuMwalimu SOBAI na Mwalimu MBIJIMA...Shule ya Msingi Msimba..Morogoro moja hiyo
embu taja walimu wako....kama unawakumbukaHongera zake mwalimu Kwa kukuza msomi mahili kama wewe mkuu
Umeisoma hiyo shule nn[emoji3][emoji3]?Hongera zake mwalimu Kwa kukuza msomi mahili kama wewe mkuu
Namkumbuka mwl Minja
HapanaUmeisoma hiyo shule nn[emoji3][emoji3]?
OookHapana
Nimesoma Makurumla Primary School
Hapana sijawahi kusoma Jumuiya lakini tulikuwa tunafahamiana.Huyo huyo Ally Hemed a.k.a Reagan mdigo aliyeendelea.
Ulimaliza lini Jumuiya?
Tuanze grupu letu tukiwakumbuka kina Ndeya, Manyiri, Mhina mzee, Mhina mchafu, Mwinjage.
Huyu mama alinifundisha pia nilikuwa nasoma ili Nami nimpost umeniwahiMwalimu Sindaguru, Musoma huko late 90's.
Ni vigumu sana kumkuta mtu aliesoma chekechea miaka ya tisini hajui kuandika. Ilikua ni mwaka mmoja tu, tayari unakua fundi kusoma na kuandika!
Hongera zake huyo mwalimuMwalimu sindaguru musoma hiyo
Wamekufundisha wapi mkuu!!?Nyiti na kitembe
Shule Gani mkuu!?Mwalimu Godfrey Omary
KUNA NGUVU KUBWA INATUMIKA KUWASEMEA MEMA WALIMU.
KATAA UALIMU HAUFAIII NI KADA YA HOVYOHOVYO
ooh Mama yangu ametusomesha kwa kibarua chake cha ualimu watoto tano wote Mungu ametujalia tumefika mahala. Namshukuru sana Mungu[emoji1545]
Si kweli.Nakataa.Mimi ndiye nilimpeleka akanunue kiwanja Cagrielo/Kilongayena.Sema tu ukweli kuwa alikuazima Ile phonex yake ukaenda kuuzia nyago ndiuka!