Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
- #201
Natumaini na Kulwa Bado yupo!?nnavyosikia huwa ni hivyo ila kwetu ni tofauti kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natumaini na Kulwa Bado yupo!?nnavyosikia huwa ni hivyo ila kwetu ni tofauti kabisa
Hapana baki nao wewe tuWe hutak shemeji
Yupo mkuu harakati za kimaisha zinatuweka mbaliNatumaini na Kulwa Bado yupo!?
Mkude [emoji3185]Vidudu miaka hiyo ya 80's nilisoma shule ya awali inaitwa Modern Nursery School. Ilikuwa samora kwenye moja magorofa ya msajili mkabala na JM mall ya sasa.
Kulikuwa na mama mmoja muhindi Goa anaitwa Maria Gonzalves. Mungu amrehemu yule bibi alikuwa na upendo wa kipekee.
Primary kuna puuzi moja lilikuwa linaitwa Mkude, alikuwa Olympio ambayo sasa imegawanywa na kuwepo Diamond hapo hapo. Lile kuda lilinipiga fimbo moja ya mgongo mpaka leo nina alama.
Mtakuja hii,bado anafundisha huyu mama pale nyumbani kwake km hakuacha ndani ya miaka miwili iliyopita.Mwalimu Sindaguru, Musoma huko late 90's.
Ni vigumu sana kumkuta mtu aliesoma chekechea miaka ya tisini hajui kuandika. Ilikua ni mwaka mmoja tu, tayari unakua fundi kusoma na kuandika!
Tabia za watoto wa kitanzania ni sawa [emoji23][emoji23], kuna upuuzi unaezakuta ulifanya kumbe kuna kundi limeshafanya kama wewe 1000xNa ukichakaa huo ni mwendo wa kubeba "Rambo","Marlboro" au mingine ilikuwa inaandikwa "Kariakoo Bazaar"!Kumbuka ni ya nailon hiyo.Au gangwe nikichelewa kurudi nyumbani naweka madaftari nyuma mgongoni ndani ya shati.Hapo napita koridoni kwa machale ili mama asishtukie movie![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni ke au me!?Yupo mkuu harakati za kimaisha zinatuweka mbali
Huyu aliyekuwa wanafunzi wanamwita Reagan?Ally Hemed (RIP) Jumuiya sekondari Tanga. Huyu ndie aliyenifanya Mimi Ni boss.
afadhali hata aliyeanzisha uzi huu amekumbuka shukurani za walimu.Alafu anatokea zwazwa mmoja mithili ya mpwayungu village anaanza kutukana waalimu
AiseeHalafu huyo dogo NI kayanki tuu kapo under 24
NI mngoni huyo.
Malezi yamemuharibu Sana.
Karibu mkuuTulioanzia Bush School tunaruhusiwa hapa
Hivi kuna uhusiano gani kati ya kina minja na ualimu.Mimi namkumbuka Mwl. Minja.
Yule mama Mungu ampe maisha marefu, kuna siku moja nilitaka kujisaidia haja ndogo ila zipu ya mkaputura wangu ukagoma kushuka chini!
Yule mama aliponiona nalia kwa kuhofia nitajikojolea akaja akanituliza kwanza. Akaniuliza shida nini, nikamwambia zipu imegoma kushuka chini hivyo muda wowote nalimwaga kojo.
Hakunisema wala kunipiga, ila alifungua zipu yangu na kuishusha chini kisha akakishika kibamia changu akakielekezea kwenye shimo moja ndani ya Darasa la kwanza pale Makurumla Primary School mwaka 1995, sitamsahau kwa hilo.
Popote ulipo mama Mungu akubariki.
AahaaaaHivi Hawa wakina minja ni gifted k
Hivi kuna uhusiano gani kati ya kina minja na ualimu.
Shule ya msingi nilifundishwa na mwalimu minja
UDSM (Conas) nilifundishwa development studies na mwalimu Minja
Me mzee baba ni mjubaNi ke au me!?
Huyo huyo Ally Hemed a.k.a Reagan mdigo aliyeendelea.Huyu aliyekuwa wanafunzi wanamwita Reagan?
😀😀
ubungo national housingWale ndiyo walikuwa real teachers
Walifundisha Toka moyoni
Nakumbuka Mwalimu Mohamed dah yule mama alikuwa na sauti ya zege na alikuwa anapinga fimbo sijaona aisee
Yule mama alinifundisha Darasa la tatu "This and That" akitumia kile kitabu Cha Musa
Sijasahau mpaka leo
Sema tu ukweli kuwa alikuazima Ile phonex yake ukaenda kuuzia nyago ndiuka!Hakuna sehemu,na ninasisitiza,hakuna nilipojiita mzee.BTP yako ulifika wakati tupo na mwalimu Kikoti tunazurula pale Ndiuka.