Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Ukiacha "talisman" Zinedine Zidane, nani mwingine unamkumbuka toka katika picha hii ya mastaa wa Ufaransa waliotwaa ubingwa wa dunia katika ardhi ya nyumbani mwaka 1998.
Cc:
Guasa Amboni
Cc:
Guasa Amboni