DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,909
- 2,115
Habarini wana jf, natumai niwazima.
Jamani nilipokuwa mdogo nilivutiwa sana na huyu mwanamuziki, niliishia tu kuzisikia nyimbo zake na nilimuona kama ni mtu wa tofati sana maana ni mwanamke pekee aliefanya muziki kipindi kile na kuvuma sana.
Nasikiaga alikuja bongo kupiga shoo naomba watu walio kuwepo au kusikia stori zake jamani, tusimuliane.
Kwa ufupi i still admire her.
Nawasilisha.
Jamani nilipokuwa mdogo nilivutiwa sana na huyu mwanamuziki, niliishia tu kuzisikia nyimbo zake na nilimuona kama ni mtu wa tofati sana maana ni mwanamke pekee aliefanya muziki kipindi kile na kuvuma sana.
Nasikiaga alikuja bongo kupiga shoo naomba watu walio kuwepo au kusikia stori zake jamani, tusimuliane.
Kwa ufupi i still admire her.
Nawasilisha.