Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume Ukikumbuka kuwa mama yako ni mwanamke hautofanya tendo la ngono kwa lengo kumtesa au kumkomoa mwanamke unayeshiriki nae!
Kwani na wao wanavyoomba na ya kutolea kwa kukomoa hawakumbuki kwamba wana baba?Mwanaume Ukikumbuka kuwa mama yako ni mwanamke hautofanya tendo la ngono kwa lengo kumtesa au kumkomoa mwanamke unayeshiriki nae!
kivipi?Wanawake huwa na tabia ya kumdharau Mwanaume ambaye hajitumi.
Ila kuna mmoja alirudisha mahari😁
Kuna kauli zetu za kishujaa, utasikia nilimpelekea moto, nimechakata mbususu [emoji23][emoji23][emoji23] zinaashiria kukomoaMkuu umejuaje wanataka kuwakomoa wanawake na siyo kujisaidia wao wenyewe....acha kuja na cheap conclusions..
Mwanaume Ukikumbuka kuwa mama yako ni mwanamke hautofanya tendo la ngono kwa lengo kumtesa au kumkomoa mwanamke unayeshiriki nae!
Hapa sasa umekosea ndugu. Mambo haya ni complex, hakuna jibu ama mtazamo mmoja. Utashangaa kuna mwanamke ndo anataka mtu apake vumbi hilo sasa. Halafu, nani kwakwambia kutumia hiyo kitu ni kumtesa mwanamke? Una takwimu labda ya wanawake wenye malalamiko ya hivyo? Kutaja mama unadhani ndo tutaogopa? Hata wao ni binadamu na wao wapo wanahitaji hilo vumbi pia.Mwanaume Ukikumbuka kuwa mama yako ni mwanamke hautofanya tendo la ngono kwa lengo kumtesa au kumkomoa mwanamke unayeshiriki nae!
Wewe ,lazima utoke ndukiHivi wanafanyaga vya kukomoa kumbe!!
Sasa hapo nani anayekomoka[emoji848]
Swaga hizo, ni kama mpira wa yanga unachezwa sana mdomoni na kwenye magazeti ila uwanjani chalii.....kama unapeleka moto piga kimya hakuna haja ya kufanya matangazo, mpira utaonekana uwanjani mithili ya mnyama ambaye hana maneno mengi ila utaona tu anavyolamba ubingwa mfululizo....Kuna kauli zetu za kishujaa, utasikia nilimpelekea moto, nimechakata mbususu [emoji23][emoji23][emoji23] zinaashiria kukomoa