Unampakia vumbi la Congo mwanamke (demu) jua na mama aliyekuzaa ni mwanamke

Unampakia vumbi la Congo mwanamke (demu) jua na mama aliyekuzaa ni mwanamke

Tulia wewe upewe dozi inayotosheleza, nyinyi wenyewe ndo mnaongea shombo kitaa.....

Nyamisi kama unaongelewaga shombo pole sana, utakua na shida.
Na usitumie hayo makitu, nenda hosp ukapate tiba
 
Ila kikubwa ni pointi 3 yenye GG, nyingine mbwembwe tu. Haijalishi hizo pointi 3 zimepatikana dakika ya ngapi, ila tusiende extra time wala matuta.
 
Nyamisi kama unaongelewaga shombo pole sana, utakua na shida.
Na usitumie hayo makitu, nenda hosp ukapate tiba
Mkuu maneno ndo yanasukuma sana hizi mambo, mizizi ya mababu ni bora zaidi kuliko tiba za hospitali zilizojaa chenga za mabeberu....
 
Mkuu maneno ndo yanasukuma sana hizi mambo, mizizi ya mababu ni bora zaidi kuliko tiba za hospitali zilizojaa chenga za mabeberu....

Ukiona anakupa maneno huyo sio saizi yako.
Mwache akapate kwengine kuliko kuja kukuua mtoto wa mwanamke mwenzungu buree
 
Ukiona anakupa maneno huyo sio saizi yako.
Mwache akapate kwengine kuliko kuja kukuua mtoto wa mwanamke mwenzungu buree
Wasije kujikuta wanatafuta punda, maana mambo yanaenda kasi sana....
 
Umeonaeee
Ila na nyie achani kuparamia kila mwanamke...... wengine sio binadamu😅😅
Tatizo wanawake wa kizazi hiki wamezidi wenge sana, hawana ule utulivu na uvumilivu waliokuwa nao mama zetu.....
 
Tatizo wanawake wa kizazi hiki wamezidi wenge sana, hawana ule utulivu na uvumilivu waliokuwa nao mama zetu.....

Tafuta ambae hana wenge
Vinginevyo utateseka sana
 
Back
Top Bottom