Unampakiaje mkongo mke wa mtu?

Unampakiaje mkongo mke wa mtu?

Hii sio Sawa,yaani unatafuta kabisa mkongo Kwa ajili ya kumpakia mke wa mtu? Hii sio Sawa, ni dhulma mbaya sana, ndio maana tunapata mabalaa Kisha tunatafuta mchawi.

Mbaya zaidi unajisifu mbele za watu! Tena wengine wanaenda mbali na kusema wanasukuma pia tope wake za watu. Jamani jamani, halafu kubwa zaidi wengi wanatembelea rim.

Mungu atausaidie Sana wanaume, kama una hizo habari tubu Kwa Mungu wako na uache kabisa.
Sasa mwenyewe unaitwa futuza si unafutua na kufukua na kubutua tu
 
Mimi mgeni mitaa hii ninayo ishi sasa hivi

Nimeenda kununua vitafunwa siunajua uswazi banah nimewahi natoa pesa nampa mama muuza vitafunwa mara kakatokea kadada kazuri tu wastani kamekuja kama hakajaniona kama mm ndio wakwanza kuwahi kupata huduma kamekuja na kumpa mama muuzaji pesa na kudai afungiwe vitafunwa haraka aondoke

Yule mama akamwambia huyu kaka amewahi kwa hivyo inabidi nimuhudumie kisha nifate kukuhudumia wewe, kaka nyamaza na kuanza kusalimia wakati alifika bila kusalimia

Basi banah sikuongea chochote nikahudumiwa na kuanza safari ya kurud gheto, kinjia kirefu kidogo cha kurud gheto na yeye akahudumiwa, akawa anakuja njia ile ile niliyokuwa narud gheto

Akanikuta njian nikamsalimia akanijibu si tumeshasalimiana nikamuomba kumsalimia tena kakakubali nikakaomba namba ya simu, sikujua kama mke wa mtu

Nikakasemesha kwenye sim kakakubali banah wewe kaka kubali kuja gheto baada ya wiki hiv baada ya kukutana nacho,

Huwaga situmiagi dawa au chochote kwenye sex.. nilikikamua hatari yaani round moja dk 60 nilikachapa kama round 6 hivi kalikuja hasubuhi kakaondoka jioni sijui kaliaga kanaenda wapi kwa mme wake,

Baadae ndio anakuja Kunambia kama yeye ni mke wamtu nilimlaumu sana kunikubalia kwani mm sitembeagi na wake za watu, na kalivyo kadogo sikudhania kama ni mke wa mtu anasema kwao wamemuozesha kwa mtu mzima mmoja hivi

Akawa analalamika amfanyi vizur anamfanya dk 3 tu na bao moja tu kamaliza mzee amelala

Akawa ananiuliza kama natumia chochote katika sex labda napaka chochote nikamjibu situmii chochote bali ndio nilivyo

Nikampiga mkwara asinizoee kwani naheshimu sana mke wa mtu alinambia kuwa anaweza kuachika kwa maksud ili nimuoe nikamwambia mm sipo tayari kuoa kwa sasa akasema atoweza kuachana na mm ... inabidi niame hii mitaa maana ni kanashawishi hatari alaf kabich sijui inakuaje ameozeshwa na huyo mtu mzima wallah wamemnyima haki zake za msingi,

Hatuwapakii mkongo watu wao huwa hawawakazi vizur tu
 
Ndio mawazo ya vijana wetu wa kitanzania.

Hakuna umasikini Mbaya kama umasikini wa Fikra.
JK Nyerere.

Vijana WA kichina ,Russia ,Islael.
Wanawaza Mambo makubwa sana.
Technologia.
Sciance.
Tafiti nk

Vijana wetu wanawaza mkongo, topo, DAWASCO, uvinza nk
HII NI LAANA.
Shwine.
Elimu yetu na kula yetu bado ni shida hiyo technolojia wapi na wapi mkuu
 
Ukiona kijana anapambana na booster ujue ana hitilafu na ukimpa mkeo chini ya miezi 6 atakuwa keshamshindwa kwa sababu ngono kwake inahitaji maandalizi achilia mbali uwezo wa kutimiza majukumu. Watu wenye hitilafu hii hata majukumu hawawezi sababu hawana uwezo wa comitment. Ukiwapa majukumu ya mke tatizo linakuwa kubwa zaidi hata mkongo unamsaliti.

Wanawake wengi wanajua haya, mkeo pamoja na kupakiwa mkongo ukimwambia haya nenda huko ili upakiwe mkongo kila siku atapiga ukunga maana anajua huyo ni mwanaume wa masaa tu baada ya hapo hamna mwanaume.

Wasiojua ndo huwa wanaenda halafu baada ya miezi kadhaa wanaanza kutuma wazee wenye busara. Kwa kawaida Nguvu za asili tulizopewa zinatosha mpaka pale panapotokea hitilafu.
Tatizo wanawake huwa wanaitaka hiyo show mara moja kwa wiki yani wakirudi wiki nzima ni kijiuguza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hawa wangese wanakula mapaka ukoko na ndo kinachompa mawazo mtoa mada.
 
Mimi mgeni mitaa hii ninayo ishi sasa hivi

Nimeenda kununua vitafunwa siunajua uswazi banah nimewahi natoa pesa nampa mama muuza vitafunwa mara kakatokea kadada kazuri tu wastani kamekuja kama hakajaniona kama mm ndio wakwanza kuwahi kupata huduma kamekuja na kumpa mama muuzaji pesa na kudai afungiwe vitafunwa haraka aondoke

Yule mama akamwambia huyu kaka amewahi kwa hivyo inabidi nimuhudumie kisha nifate kukuhudumia wewe, kaka nyamaza na kuanza kusalimia wakati alifika bila kusalimia

Basi banah sikuongea chochote nikahudumiwa na kuanza safari ya kurud gheto, kinjia kirefu kidogo cha kurud gheto na yeye akahudumiwa, akawa anakuja njia ile ile niliyokuwa narud gheto

Akanikuta njian nikamsalimia akanijibu si tumeshasalimiana nikamuomba kumsalimia tena kakakubali nikakaomba namba ya simu, sikujua kama mke wa mtu

Nikakasemesha kwenye sim kakakubali banah wewe kaka kubali kuja gheto baada ya wiki hiv baada ya kukutana nacho,

Huwaga situmiagi dawa au chochote kwenye sex.. nilikikamua hatari yaani round moja dk 60 nilikachapa kama round 6 hivi kalikuja hasubuhi kakaondoka jioni sijui kaliaga kanaenda wapi kwa mme wake,

Baadae ndio anakuja Kunambia kama yeye ni mke wamtu nilimlaumu sana kunikubalia kwani mm sitembeagi na wake za watu, na kalivyo kadogo sikudhania kama ni mke wa mtu anasema kwao wamemuozesha kwa mtu mzima mmoja hivi

Akawa analalamika amfanyi vizur anamfanya dk 3 tu na bao moja tu kamaliza mzee amelala

Akawa ananiuliza kama natumia chochote katika sex labda napaka chochote nikamjibu situmii chochote bali ndio nilivyo

Nikampiga mkwara asinizoee kwani naheshimu sana mke wa mtu alinambia kuwa anaweza kuachika kwa maksud ili nimuoe nikamwambia mm sipo tayari kuoa kwa sasa akasema atoweza kuachana na mm ... inabidi niame hii mitaa maana ni kanashawishi hatari alaf kabich sijui inakuaje ameozeshwa na huyo mtu mzima wallah wamemnyima haki zake za msingi,

Hatuwapakii mkongo watu wao huwa hawawakazi vizur tu
Hata mume wake akienda kwa mchepuko anapata hizo nguvu huyo mwanamke ukikaa nae week tu mzuka unapotea nawwe unaanza kula kimoja unalala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata mume wake akienda kwa mchepuko anapata hizo nguvu huyo mwanamke ukikaa nae week tu mzuka unapotea nawwe unaanza kula kimoja unalala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Aje!! Tubadilishane tu mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] Mimi kwa yule siwez kupiga kimoja hata iweje
 
Aje!! Tubadilishane tu mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] Mimi kwa yule siwez kupiga kimoja hata iweje
😂😂😂sawa ila mzuri akiwa sio wako akiwa wako wakaida kinyama
 
Tatizo wanawake huwa wanaitaka hiyo show mara moja kwa wiki yani wakirudi wiki nzima ni kijiuguza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hawa wangese wanakula mapaka ukoko na ndo kinachompa mawazo mtoa mada.
Lakini ni sawa tu as long as ndo kipaumbele chake kukimbizana na kuridhisha wanawake.
 
Kupakiwa mkongo sio tatzo,labda kuliwa tope ndo naona sio sahihi ni dhambi kubwa sana
 
Tutawapakia mpaka akili ziwakae sawa alafu watunzeni wake zenu jaman dah mnawanyanyasa sana wanakosa furaha wanakuja kutafuta kwa sisi wahun ambao hatuna chochote wala hatuna future ni huzun kwakwel tutazichakata mpaka basi🤪
 
Back
Top Bottom