Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hebu picha nione ๐๐ Nina mwaka wa nne ni mwendo wa low cut tu
sawa ila kuna wanaopendelea kunyoa..... si ndio KelseaSawa sjakataa kuna wanaonyoa na kusuka ila wanaonyoa wanamissig kusuka blood
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hayasawa ila kuna wanaopendelea kunyoa..... si ndio Kelsea
Mpaka akaunt ukute imeandikwa R I P ndio uweke sio ?
na mimi kijana wa hovyo sitaki kupitwa ๐
Uwiii basi sitaki mazoea kabisa, tena asinitag wala kuniquote.Kwao kwenyewe bado hawamuamini. Ndio kwanza yupo form 3 ๐ ๐
๐๐๐HamnaKwahiyo unaamini utapata mtu wa umri wa kutosha kuijua Jf ambae hana kabisa mtu?
We ukisikia waaaapi?๐
[emoji23] sasa mambo gani haya lkn? Acha hizo bwanaMpaka akaunt ukute imeandikwa R I P ndio uweke sio ?
[emoji2088]Ngoja nikasome kwanza post za nyuma.sababu niko peke yangu
[emoji1787] sawa dogona mimi kijana wa hovyo sitaki kupitwa [emoji23]
achana na hao wazee wataishia kukuhemea tu ๐Uwiii basi sitaki mazoea kabisa, tena asinitag wala kuniquote.
Bado napenda uhuru wangu๐
Dogo umesikia? mshamba_hachekwi
๐ฅฒ fanya namna hii life ni fupi hii dunia sio yetu
Haya [emoji23]๐ฅฒ fanya namna hii life ni fupi hii dunia sio yetu
Wazee ndio mpango mzima, wanatumaga na ya kutoleaachana na hao wazee wataishia kukuhemea tu ๐
Unancheka sio๐ฎโ๐จ