Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Sikatai pesa njoo PMhahaha sasa sisi wengine hatupo telegram nakutumia tu buku hakuna shida nakubal sana kazi zako🙃
Nikijibu tu sawa, na kila kitu tunamaliza 😄😄😄😄I will be waiting,usiende muda mrefu sana.🙇
Hahaha..mimi ni under 30..Kwa hiyo una miaka mingapi Darmian
Utanikubali na watoto wangu watatu ?
We mwenyewe ndio... nakuhitaji..Mimi huyu 😀😀😀😀
Una nyota kali ndg yangu daahNikijibu tu sawa, na kila kitu tunamaliza 😄😄😄😄
ww hapo huwa nakuelewa sana,Tuambie na wewe unamtaka nani mkui
Ndugu yangu kwanini unasema hivyo? 😁😁😁😁Una nyota kali ndg yangu daah
Ngoja tuone kama atakuta jam...Juzi ulizuia matumizi ya pm ujue😂😂
Yaani hupoi, nyota kali sana, hebu imulike hadi huku basi?😂😂Ndugu yangu kwanini unasema hivyo? 😁😁😁😁
Woyooooo watanionea wivu mieHahaha..mimi ni under 30..
Nitakukubali vizuri tu..hao watoto wasiwe tu washakua vidume vya mbegu..
Nakwambia acha tu, nikimaliza mchujo nitakukumbuka ndugu yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani hupoi, nyota kali sana, hebu imulike hadi huku basi?😂😂
He wewe unashida mahali Fulani sio buree hili ni shepu Sasa ,kha au kituko mbona Kuna wengi wanadamuView attachment 2600305
Awe hvi tu mpka nyumba na gari za urithi nampa
Aje hapa chapu kabla sijafirisika
Mimi sio wa kufanyiwa hivi na wewe kamwe, unajua kuvunja mifupa vibaya🤣🤣🤣Nakwambia acha tu, nikimaliza mchujo nitakukumbuka ndugu yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Thank you 💃💃💃😘😘ww hapo huwa nakuelewa sana,