Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Bora wewe, Mimi hata kivuli changu sikiaminieven myself sometimes I don't trust ๐
aisee ๐๐๐๐Bora wewe, Mimi hata kivuli changu sikiamini
Sina rafiki๐๐๐Kila.mtu anarafiki yake anayekuwa naye kwenye mambo Mengi ila swali langu je unamwamini kiasi gani huyo rafiki yako ??
๐Mie Sinawakumuamini kwakweli naishi Kwa msaada wa Mungu Kwa kweli
Yule mchumba wako pia ni rafiki yakoSina rafiki[emoji23][emoji23][emoji23]
Even your parents mamushka ?sijawahi kumuamini mtu yeyote kwakweli even myself sometimes I don't trust [emoji18]
wengine tulishawahi kupigwa matukio hadi na wazazi ๐ถ,, tunapowaambia trust nobody muwe mnaelewa๐คEven your parents mamushka ?
spoke for both of us.sijawahi kumuamini mtu yeyote kwakweli even myself sometimes I don't trust ๐
๐๐คspoke for both of us.
Chinekeeee ! Pole mamushkawengine tulishawahi kupigwa matukio hadi na wazazi [emoji55],, tunapowaambia trust nobody muwe mnaelewa[emoji850]
ubarikiwe sanaChinekeeee ! Pole mamushka
Hapanaa sio rafiki yangu.. ๐๐๐Yule mchumba wako pia ni rafiki yako
Hata wife simwamini, huyo rafiki nitaanzaje?Kila mtu anarafiki yake anayekuwa naye kwenye mambo Mengi ila swali langu je unamwamini kiasi gani huyo rafiki yako ??
๐Mie Sinawakumuamini kwakweli naishi Kwa msaada wa Mungu Kwa kweli