Unamuamini rafiki yako kiasi gani?

Unamuamini rafiki yako kiasi gani?

Kila mtu anarafiki yake anayekuwa naye kwenye mambo Mengi ila swali langu je unamwamini kiasi gani huyo rafiki yako ??

😁Mie Sinawakumuamini kwakweli naishi Kwa msaada wa Mungu Kwa kweli
Kimsingi haupaswi kumuamini rafiki yako na rafiki yako hapaswi kujia lolote kwenye maisha yako.
Mtu unaepaswa kumuamini ni mtu wako wa karibu (inner cycle) and not a friend.
 
Kila mtu anarafiki yake anayekuwa naye kwenye mambo Mengi ila swali langu je unamwamini kiasi gani huyo rafiki yako ??

😁Mie Sinawakumuamini kwakweli naishi Kwa msaada wa Mungu Kwa kweli
kiuweli marafiki sio wakuamini sana nakumbuka baba yangu aliniambia kuwa "Hata aliyekufa meno yake ni meupe hivyo usidangwe na anaekutabasamia"
 
Back
Top Bottom