Unamuamini rafiki yako kiasi gani?

Unamuamini rafiki yako kiasi gani?

Lemme seee mmmmmh noooooo!! only my mom, she is my best friend, she is my secret keeper, in short she is my everything!

Hawa mashoga zangu wa umbea yaaninkwenye maisha lazima uwe nao kila mtu ana umuhimu wake.

1. Queen was 92% RIP
2 As..........................95%
2. Jul......................89%
3. Mag.................88%
4. Liz.......................85.%

Special friends ambao hawajulikani kwa hao juu. Ambao kwa sasa nawezankushare nao top secret
1, jen.................99%
2,mon.............99%

Ahaaaaaaaa my best friends wangu wa kiume hawa ni wengi sijui hata niwape % ngap? Watoto wa kiume hawanaga mbambamba, hawanaga baya wakifa hawataoza hata wakioza hawatanuka mafala wale wahanaga baya you know hawa ni friends ambao tunaishi kama bibi/babu na wajukuu zao ( hawa hatu-shei top secret😜) hata wakinipa zambi zao nabeba manina zao😂

Hawa tukipigiana simu utasikia:

Wao : We falar uko wapi?
Mimi : nimelala
Wao : we mpuuzi unalala kwa hela zipi ulizokuwa nazo?
Mimi: una jipya?
Wao : we si boss wangu bana mpuuzi wewe nilitaka kujua uko wapi sijakuona muda faler wewe
Mimi: we mpuuzi mbona unajiongelesha unataka kunipa hela?
Wao : kwani hela shida unataka sh. Ngapi?
Mimi: hayo ndo maneno
Wao: we faler skia nina vijipesa vinaniwasha afu wife kajinunisha humo ndani embu nipe no yule mtoto mzuri shoga yako yuleee....... akanipunguzie stress.
Mimi: we falar nini hujui anapoishi?
Wao: faster basiii
Mimi: 07.........
Wao: wewe mpuuzi zambi zako nibebe mimi ukifa shetani anichome mimi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mimi nimepigwa mno na marafiki ila ninao lakin hatuko wazi sana ila nawapenda nao wananijali sana

mtu ambae Huwa namfanya rafiki ni mpenzwangu kiukweli maana nafikir ni mtu ananielewa Zaid na inshallah nikiolewa mume ndie atakuwa rafikiyangu wa kwanza
 
Lemme seee mmmmmh noooooo!! only my mom, she is my best friend, she is my secret keeper, in short she is my everything!

Hawa mashoga zangu wa umbea yaaninkwenye maisha lazima uwe nao kila mtu ana umuhimu wake.

1. Queen was 92% RIP
2 As..........................95%
2. Jul......................89%
3. Mag.................88%
4. Liz.......................85.%

Special friends ambao hawajulikani kwa hao juu. Ambao kwa sasa nawezankushare nao top secret
1, jen.................99%
2,mon.............99%

Ahaaaaaaaa my best friends wangu wa kiume hawa ni wengi sijui hata niwape % ngap? Watoto wa kiume hawanaga mbambamba, hawanaga baya wakifa hawataoza hata wakioza hawatanuka mafala wale wahanaga baya you know hawa ni friends ambao tunaishi kama bibi/babu na wajukuu zao ( hawa hatu-shei top secret😜) hata wakinipa zambi zao nabeba manina zao😂

Hawa tukipigiana simu utasikia:

Wao : We falar uko wapi?
Mimi : nimelala
Wao : we mpuuzi unalala kwa hela zipi ulizokuwa nazo?
Mimi: una jipya?
Wao : we si boss wangu bana mpuuzi wewe nilitaka kujua uko wapi sijakuona muda faler wewe
Mimi: we mpuuzi mbona unajiongelesha unataka kunipa hela?
Wao : kwani hela shida unataka sh. Ngapi?
Mimi: hayo ndo maneno
Wao: we faler skia nina vijipesa vinaniwasha afu wife kajinunisha humo ndani embu nipe no yule mtoto mzuri shoga yako yuleee....... akanipunguzie stress.
Mimi: we falar nini hujui anapoishi?
Wao: faster basiii
Mimi: 07.........
Wao: wewe mpuuzi zambi zako nibebe mimi ukifa shetani anichome mimi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
You hit the jackpot luckyline 😍
Kikubwa ni uwe na mipaka yako na ulisimamie hilo.
 
Lemme seee mmmmmh noooooo!! only my mom, she is my best friend, she is my secret keeper, in short she is my everything!

Hawa mashoga zangu wa umbea yaaninkwenye maisha lazima uwe nao kila mtu ana umuhimu wake.

1. Queen was 92% RIP
2 As..........................95%
2. Jul......................89%
3. Mag.................88%
4. Liz.......................85.%

Special friends ambao hawajulikani kwa hao juu. Ambao kwa sasa nawezankushare nao top secret
1, jen.................99%
2,mon.............99%

Ahaaaaaaaa my best friends wangu wa kiume hawa ni wengi sijui hata niwape % ngap? Watoto wa kiume hawanaga mbambamba, hawanaga baya wakifa hawataoza hata wakioza hawatanuka mafala wale wahanaga baya you know hawa ni friends ambao tunaishi kama bibi/babu na wajukuu zao ( hawa hatu-shei top secret[emoji12]) hata wakinipa zambi zao nabeba manina zao[emoji23]

Hawa tukipigiana simu utasikia:

Wao : We falar uko wapi?
Mimi : nimelala
Wao : we mpuuzi unalala kwa hela zipi ulizokuwa nazo?
Mimi: una jipya?
Wao : we si boss wangu bana mpuuzi wewe nilitaka kujua uko wapi sijakuona muda faler wewe
Mimi: we mpuuzi mbona unajiongelesha unataka kunipa hela?
Wao : kwani hela shida unataka sh. Ngapi?
Mimi: hayo ndo maneno
Wao: we faler skia nina vijipesa vinaniwasha afu wife kajinunisha humo ndani embu nipe no yule mtoto mzuri shoga yako yuleee....... akanipunguzie stress.
Mimi: we falar nini hujui anapoishi?
Wao: faster basiii
Mimi: 07.........
Wao: wewe mpuuzi zambi zako nibebe mimi ukifa shetani anichome mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nimepigwa mno na marafiki ila ninao lakin hatuko wazi sana ila nawapenda nao wananijali sana

mtu ambae Huwa namfanya rafiki ni mpenzwangu kiukweli maana nafikir ni mtu ananielewa Zaid na inshallah nikiolewa mume ndie atakuwa rafikiyangu wa kwanza
Uolewe kila la heri
 
Mimi nimepigwa mno na marafiki ila ninao lakin hatuko wazi sana ila nawapenda nao wananijali sana

mtu ambae Huwa namfanya rafiki ni mpenzwangu kiukweli maana nafikir ni mtu ananielewa Zaid na inshallah nikiolewa mume ndie atakuwa rafikiyangu wa kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongereni sana wengine hatujabahatika unakuta rafikyako nae ana rafikiyake shida zinaanzia hapo now tumetuliza makomwe yetu tu😀😀
Mtu akikushirikisha ishu yake nyeti means amekuamini so usimuangushe na ndivyo nilivyo.
 
Ninaye lala nae kitanda ki1 na kumvulia nguo zote na kuwa mtupu km nilivyo zaliwa, huyo ndo rafiki angu, couz anaujua undani wangu.

[emoji625][emoji625]
 
Back
Top Bottom