Muwa mtamu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 847
- 1,599
Ninapenda marafiki WAKOROFI kama weweKumbe we ni mgunduzi.
Em chukua savanna moja ya moto hapo, bill alipe kipara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninapenda marafiki WAKOROFI kama weweKumbe we ni mgunduzi.
Em chukua savanna moja ya moto hapo, bill alipe kipara
niko na princlep zangu si kila mtu rafiki au mshikaji wengine wachorajiMarafiki ni muhimu sana kwa maisha yetu
Wapiiiii naweee??Hivi ua..ni imekuchenga?[emoji23][emoji23][emoji23]
Si umesha wasili?
Kuna wengine wana roho mbaya na wivu, hao ni wa kuwakimbiaWew ndo mtu Yani mtu had unatembea kituakizito Kwa ajili ya kumbeba mtu na mambo yake kumbe mwenzio hata ukinunua kijiko kipya ananuna hapna aisee
Sijaua ila Sina sababu ya kuliweka wazi kwa yeyoteKama uliua sawa
Baki nayo mwenyewe
😅😂 MuacheNasubiri kuuona mwisho wa hii semister ukifahuru bila sup nidai 30000 nitampa mjomba wako Half american
Daah mbona tulimteta kwenye ule uzi...raia mwenye mashine resi navwewe 😂Wapiiiii naweee??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uliruka ukuta 😒🤣Sijaua ila Sina sababu ya kuliweka wazi kwa yeyote
kmmk dogo acha dharau😂na matokea ntayaleta ole wako usitoe hiyo 30Nasubiri kuuona mwisho wa hii semister ukifahuru bila sup nidai 30000 nitampa mjomba wako Half american
Tudia kusoma comment uliyoreply 😂Uliruka ukuta 😒🤣
Sina siri mie.
Sijui sbb niko surrounded na matured pipo 🤣 nayamwaga tu.
Ukishapigwa matukio lazima uwe mgunduzi😂Kumbe we ni mgunduzi.
Em chukua savanna moja ya moto hapo, bill alipe kipara
Kabisa dear Yani rafikimzuri anaefurahia mafanikio yako sio Hawa wanaotuombea tupate shida tuwakope watutangaze🤣🤣🤣Kuna wengine wana roho mbaya na wivu, hao ni wa kuwakimbia
Hivi wewe dada kumbe usipovuta bangi unaweza kiandika sentesi imenyooka?😂😂😂Kila mtu anarafiki yake anayekuwa naye kwenye mambo Mengi ila swali langu je unamwamini kiasi gani huyo rafiki yako ??
😁Mie Sinawakumuamini kwakweli naishi Kwa msaada wa Mungu Kwa kweli
akuna kitu kama iko😅😂 Muache
Nitatuma hapa hapa 😂😂kmmk dogo acha dharau😂na matokea ntayaleta ole wako usitoe hiyo 30
Hiii ngeli hii Mwalimu wa Zamu Tz njooutuelewesheSijawahi kumuamini mtu yeyote kwakweli even myself sometimes I don't trust 😌
Nilikua na rafiki wa hivyo daah nilisikitika urafiki wetu kuingia doa sababu I loved her for real Ila sasa siwezi endekeza tabia zinazonikwazaKabisa dear Yani rafikimzuri anaefurahia mafanikio yako sio Hawa wanaotuombea tupate shida tuwakope watutangaze🤣🤣🤣