mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
njia nzuri sana ya kufa hiyo 😂mshamba_hachekwi Dogo we hangaika tu na hayo Mafuso, kwenye milima yakirudi nyuma RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njia nzuri sana ya kufa hiyo 😂mshamba_hachekwi Dogo we hangaika tu na hayo Mafuso, kwenye milima yakirudi nyuma RIP
🤣🤣Ukome 🤣🤣🤣
A friend to keep foreverChuo nikishakuwaga na rafiki
Alikuwa rafiki mwenye rafiki zake ambao by that time hawakuwa rafiki zangu.
(Tuliishi 1 Hostel.. chuo level tofauti.
Kuna siku sijui ikawaje wakaanza kunisema 🤣 yule rafiki angu akaanza kuwasuta wenzake kwann wananisema.
Basi baadae nikaja kuwazoea na wale wengine. Ndio kupata huo ubuyu kwamba rafiki alinitetea nisisemwe 😆.
Nikazidi kumpenda ❤️
Na yeye akanipenda
Mpk tukaanza kufanana
Tukaanza itana Twin
Until to date bado tunawasiliana… ingawa tuko miles mia mbili tofauti.
Na ukishika cm yangu ukaenda kwa contacts ukaserch TW… lazima uone Twinie.. toka enzi hizoo mpk leo sijawahi edit jina.
Nina hako ka bahati ka kupata marafiki ninao vibe nao… sijawahi tendwa na rafiki.
😂 Imebidi nicheke, mama aliona huu Moto sio wakawaida. Wapo watu wahivyo na niwachonganishi mno. Mimi mshkaji akileta habari za hivo namcheki tu simpi ushirikiano. Nna jamaa yangu mmoja hata nikiwa na shida siwezi muomba msaada kwa aliyowahi niambia kuhusu baadhi ya watu waliomueleza shida zao.Mamayangu alimuona rafikiyangu mmoja hiv Kwa muda wa wiki akaniita akanambia hivi rafikyako unamuelewa mbonasiri za watu anazisema had kwangu unauhakika zako ziko sawa aliona mbali sikukaa wiki akanipigia tukio 😀😀😀baaada ya tukio matukio yakaniminika nyie
Mimi sio mkorofi 😂😂Ninapenda marafiki WAKOROFI kama wewe
Hana baya kabisaChangamsha genge, peponi anakiti chake, motoni yupo vvvviiiipppp
Ndio reaction iliyo karibu nikichukia 😀😀ila siwez Lia mbele za watu lakin pekeyangu nakiangusha sana tu 🙌😀😀
Inatakiwa uwe gaidi sometimes kwenye haya maishaSana yaani ni hat siwez kujibizana na sichelew kulia Sasa🤣🤣
😍 Ugonjwa wanguSana yaani ni hat siwez kujibizana na sichelew kulia Sasa🤣🤣
Alafu navoonekana strong Sasa mtaani 😅nakipiga mwenyew sitak ushirika na watu 😀😀nikikerwa Ooho nakiangusha safi tu kimya kimya 😀😀😀Inatakiwa uwe gaidi sometimes kwenye haya maisha
Kumbe had wew 😂😍 Ugonjwa wangu
Hao ndo watu wabaya zaidi kwakweliA friend to keep forever
😂 Imebidi nicheke, mama aliona huu Moto sio wakawaida. Wapo watu wahivyo na niwachonganishi mno. Mimi mshkaji akileta habari za hivo namcheki tu simpi ushirikiano. Nna jamaa yangu mmoja hata nikiwa na shida siwezi muomba msaada kwa aliyowahi niambia kuhusu baadhi ya watu waliomueleza shida zao.
Chuo nikishakuwaga na rafiki
Alikuwa rafiki mwenye rafiki zake ambao by that time hawakuwa rafiki zangu.
(Tuliishi 1 Hostel.. chuo level tofauti.
Kuna siku sijui ikawaje wakaanza kunisema [emoji1787] yule rafiki angu akaanza kuwasuta wenzake kwann wananisema.
Basi baadae nikaja kuwazoea na wale wengine. Ndio kupata huo ubuyu kwamba rafiki alinitetea nisisemwe [emoji38].
Nikazidi kumpenda [emoji3590]
Na yeye akanipenda
Mpk tukaanza kufanana
Tukaanza itana Twin
Until to date bado tunawasiliana… ingawa tuko miles mia mbili tofauti.
Na ukishika cm yangu ukaenda kwa contacts ukaserch TW… lazima uone Twinie.. toka enzi hizoo mpk leo sijawahi edit jina.
Nina hako ka bahati ka kupata marafiki ninao vibe nao… sijawahi tendwa na rafiki.
No napenda wanawake wenye hulka yakoKumbe had wew 😂
Ndio hivyo ni muhimu kukaa kwa password na kujiwekea mipaka vinginevyo ukiwa na matatizo ukahitaji utatuzi utajikuta yanaongezeka badala ya kupungua.Hao ndo watu wabaya zaidi kwakweli
😂😅 pole sanaMm pia nilikuwa nae mmoja tangu form one had form tukamaliza hakufanya vizuri akaolewa mm nikaendelea na shule nikapata marafiki wapya vichomi balaa yan ningekuwa msutaji nafikir ningekuwa na vikao kilawiki nao nimeamua nijiepushe na maumivu madogomadogo 😀😀
Waswahili mwapenda ngono sana, kwani hamna mifano mingine.?Ninaye lala nae kitanda ki1 na kumvulia nguo zote na kuwa mtupu km nilivyo zaliwa, huyo ndo rafiki angu, couz anaujua undani wangu.
[emoji625][emoji625]
Sina pa kukuweka 🤣😂Mimi unaniweka wapii [emoji23][emoji23][emoji23]