Unamuamini rafiki yako kiasi gani?

Unamuamini rafiki yako kiasi gani?

Hongereni sana wengine hatujabahatika unakuta rafikyako nae ana rafikiyake shida zinaanzia hapo now tumetuliza makomwe yetu tu😀😀
Hakunaga rafiki duniani ni Yesu Pekee maana kila mmoja ni mnafiki
 
Wewe unatakiwa upate rafiki kama Depal ndio anakufaa🤣🤣
Kumbe ndo zake tungeelewana sana shida yangu siwez kujitetea live Yani Bora unipe mda au nijitetee Kwa ujumbe nafikir nakuwa huru ila live alafu nimekwazika kilaneno halitoki mdomoni mwisho machozi tu 😂😂😂
Nikijikaza nisilie hapo nitaondok nikalilie mbele huko 😂😂
Nafikir rafikizangu wamenotice Ilo wao ndo wamekuwa wasemaji wanapitiliza
 
Chuo nikishakuwaga na rafiki
Alikuwa rafiki mwenye rafiki zake ambao by that time hawakuwa rafiki zangu.
(Tuliishi 1 Hostel.. chuo level tofauti.

Kuna siku sijui ikawaje wakaanza kunisema 🤣 yule rafiki angu akaanza kuwasuta wenzake kwann wananisema.
Basi baadae nikaja kuwazoea na wale wengine. Ndio kupata huo ubuyu kwamba rafiki alinitetea nisisemwe 😆.
Nikazidi kumpenda ❤️
Na yeye akanipenda
Mpk tukaanza kufanana
Tukaanza itana Twin

Until to date bado tunawasiliana… ingawa tuko miles mia mbili tofauti.
Na ukishika cm yangu ukaenda kwa contacts ukaserch TW… lazima uone Twinie.. toka enzi hizoo mpk leo sijawahi edit jina.

Nina hako ka bahati ka kupata marafiki ninao vibe nao… sijawahi tendwa na rafiki.
Ngoja siku me nikutende, utakuja kuandika uzi
 
Kumbe ndo zake tungeelewana sana shida yangu siwez kujitetea live Yani Bora unipe mda au nijitetee Kwa ujumbe nafikir nakuwa huru ila live alafu nimekwazika kilaneno halitoki mdomoni mwisho machozi tu 😂😂😂
Nikijikaza nisilie hapo nitaondok nikalilie mbele huko 😂😂
Nafikir rafikizangu wamenotice Ilo wao ndo wamekuwa wasemaji wanapitiliza
Me hua ananisaidia maana sometimes nikogo mnyonge kama wewe ila kamanda Depal amenisaidia pakubwa🤣
 
Kumbe ndo zake tungeelewana sana shida yangu siwez kujitetea live Yani Bora unipe mda au nijitetee Kwa ujumbe nafikir nakuwa huru ila live alafu nimekwazika kilaneno halitoki mdomoni mwisho machozi tu 😂😂😂
Nikijikaza nisilie hapo nitaondok nikalilie mbele huko 😂😂
Nafikir rafikizangu wamenotice Ilo wao ndo wamekuwa wasemaji wanapitiliza
Uzembe tu 🤣🤣🤣
 
Rafiki ni mke wangu na watoto wangu; wengine ni kubadilishana mawazo tu
Hongera nami natamni iwe hivo kwakweli japo now mamaangu kidogo sabbu siwez mshirikisha kilakitu lakin at least najua hawez kuwa na unafki Kwenye mafanikioyngu
Ule Mchepuko wako sio rafikyako😂
 
Nitamwaribu 🤣🤣🤣

Af nimekumbuka, Yule mwehu alokufata Pm anakwambia me nitakuharibu mpe salamu zangu,, nitamuharibu yeye kwanza kabla sijawaharibu niwapendao
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani usimchambe msamehe
 
Nitamwaribu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Af nimekumbuka, Yule mwehu alokufata Pm anakwambia me nitakuharibu mpe salamu zangu,, nitamuharibu yeye kwanza kabla sijawaharibu niwapendao
Narudia, napenda rafiki mtata, yaani tutaivana balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom