Unamwacha mpenzi kisa hazai, akienda kupata mtoto kabla yako utajisikiaje?

Unamwacha mpenzi kisa hazai, akienda kupata mtoto kabla yako utajisikiaje?

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Hii kitu usiombe!

Tumeumbwa na wivu wa asili, japo sio uchawi ila inapotokea unaanza kuombea mabaya wenzako.

Huu unabaki kuwa ukweli mchungu unaotibu kwa kuchoma roho yako.

Nyieee..!![emoji1614][emoji36]
 
Hii kitu usiombe!

Tumeumbwa na wivu wa asili, japo sio uchawi ila inapotokea unaanza kuombea mabaya wenzako.

Huu unabaki kuwa ukweli mchungu unaotibu kwa kuchoma roho yako.

Nyieee..!![emoji1614][emoji36]
Suala la ndoa linahitaji uvumilivu.

Watoto/Mtoto ni neema kutoka kwa Muumba, huwa anajalia hiyo neema kwa mapenzi yake na kwa sababu maalum.

Vitabu vya Imani(Dini) vinasema kila kiumbe kina riziki yake, kiumbe hakiwezi kuletwa kwenye mgongo wa ardhi kama riziki yake ingali haijakamilika.

Tuwe na Subira.

Kuna jamaa mmoja kwetu, alioa miaka ya 90, hadi kufika mwaka 2008 alikuwa bado hajapata mtoto na hakufanya uamuzi wa kumuacha mke wake bali aliamua kuoa mke wa pili(alikuwa single mother).

Baada ya hapo wake zake wote walishika mimba kwa wakati mmoja, hadi hapo jamaa akaanza kupata watoto double double. Alivumilia hadi Muumba kasikia maombi yake
 
Suala la ndoa linahitaji uvumilivu.

Watoto/Mtoto ni neema kutoka kwa Muumba, huwa anajalia hiyo neema kwa mapenzi yake na kwa sababu maalum.

Vitabu vya Imani(Dini) vinasema kila kiumbe kina riziki yake, kiumbe hakiwezi kuletwa kwenye mgongo wa ardhi kama riziki yake ingali haijakamilika.

Tuwe na Subira.

Kuna jamaa mmoja kwetu, alioa miaka ya 90, hadi kufika mwaka 2008 alikuwa bado hajapata mtoto na hakufanya uamuzi wa kumuacha mke wake bali aliamua kuoa mke wa pili(alikuwa single mother).

Baada ya hapo wake zake wote walishika mimba kwa wakati mmoja, hadi hapo jamaa akaanza kupata watoto double double. Alivumilia hadi Muumba kasikia maombi yake

Je, kuchepuka ni tiba?

Kwa maana hata Abraham alipochepuka ndipo tumbo la mkewe likafunguka![emoji2377]
 
Hii kitu usiombe!

Tumeumbwa na wivu wa asili, japo sio uchawi ila inapotokea unaanza kuombea mabaya wenzako.

Huu unabaki kuwa ukweli mchungu unaotibu kwa kuchoma roho yako.

Nyieee..!![emoji1614][emoji36]
Kuna kaka aliachana na mkewe dec 2020 baada ya kukaa miaka mitatu ndani ya ndoa bila mkewe kupata ujauzito leo hii mwanamke kitumbo kikubwa,,,na mkewe alikua akishauri waende hosptal mwanaume anagoma.Mungu awasaidie wote wenye shida juu ya uzazi mana huyu kaka hata raha hana.
 
Haya Mambo yanahitaji makubaliano.
Sema selfishness kwa kila upande ndio inatawala.
Mwanamke akiwa hawezi kuzaa anataka na wewe usizae Ila mwanaume unatamani umuache ili upate mwingine.
Mwanaume akiwa hawezi kuzaa bahati mbaya huwa wanasingiziwa watoto baada ya wanawake kuchepuka. Hivyo shida huwa inaonekana wanayo wanawake zaidi.
Lakini kila mmoja anatakiwa kumjali mwenzake na kujali hisia na ndoto zake.
Mkubaliane. Mwenzako Ana shida na huwezi kuzivumilia basi muachane tu kila mtu aende kwake akatafute furaha yake.
Kama mkikubaliana kuendelea kuishi pamoja sawa tu.

Zamani wanawake wasioweza kuzaa walikuwa wanaruhusu wanaume waongeze mke ili wapate watoto.
Na wanaume vile vile walikuwa wanawaambia wake zao wazungukezunguke kutafuta chochote.
Ila Sasa hivi ubinafsi umezidi.
Kuliko kuendelea kuangaliana vibaya ni Bora kila mtu aishi peke yake.
 
Yeah! Wakati ukifika MTU ufanikiwa tu.Lakini now inachangiwa sana na madawa ya uzazi wa mpango au utoaji mimba hovyohovyo.Maswala ya hormone problems ni sababu iliyopo kwa wachache sana.Ila MTU hawez kukuambia ukweli.
Dada zetu/wake zetu wanabugia Sana vidonge vya uzazi wa mpango bila kujua madhara ya baadaye.
P2 zina madhara yake ya baadaye japo zinaachia watu wale nyama kwa nyama
 
Back
Top Bottom