Unamwacha mpenzi kisa hazai, akienda kupata mtoto kabla yako utajisikiaje?

Unamwacha mpenzi kisa hazai, akienda kupata mtoto kabla yako utajisikiaje?

Dada zetu/wake zetu wanabugia Sana vidonge vya uzazi wa mpango bila kujua madhara ya baadaye.
P2 zina madhara yake ya baadaye japo zinaachia watu wale nyama kwa nyama

Nyama kwa nyama, virusi vipo likizo?
 
Dada zetu/wake zetu wanabugia Sana vidonge vya uzazi wa mpango bila kujua madhara ya baadaye.
P2 zina madhara yake ya baadaye japo zinaachia watu wale nyama kwa nyama
Ukiona mtu anapata shida lazima utasema alibugia vidonge sana lakini ukiwa nalo ndiyo utajua ni mipango ya shetani.
 
Back
Top Bottom