King Kimwe
Senior Member
- Jan 26, 2013
- 130
- 30
Diamond ana mafanikio gani? Nchii hii bana ina watu wana akili nyepesi kweli
Ay anamiliki kipindi cha MKASI vile vile anawamanage wasanii wenzie wa hapa bongo,anaongoza afrika mashariki kwa kupiga sana show za nje akiwa na wasanii wa kimataifa,ana miliki maduka ya nguo matatu na maduka mawili ya spea za magari kaliakoo, ana nyumba 5 za kupangisha zikiwemo na guest ,ana husika kwenye club ya maisha,ana mashamba vile vile ana lima,ana miliki kituo cha watoto yatima msasani ,ameshafanya nyimbo na P.square,miss trinity,lily romeo,yamia,goldie wa big brother africa na sasa ana wimbo kafanya na sean kingstone inatoka january hii tarehe hajataja ni lini na amepata tuzo ya msanii bora wa africa mashariki 2011-2013 ,ana video za gharama kubwa mpaka sasa afrika mashariki hakuna anayemfikia.ameacha kufanya mziki wa kibongo bongo ameamua kufanya international zaidi.ana website yake na ndo msanii wa kwanza Tz kuwa tovuti,nyimbo zake zinapgwa sana MTV,BET,CMUSIC,B4U MUSIC,CHANNEL O NK,vile vile anafanya matangazo nakampuni mbali mbali za ulaya pamoja na supersport,anajipigia promo mwenyewe hayo ni machache nendeni kwenye website yake www. Ay.co.tz
AY kashatengeneza meno yake?
Kuuza sura na njino zimepinda haihusiki.
AY msanii wa kwanza bongo kuwa na tovuti?
Gangwe Mobb walikuwa na tovuti back in 2000.
Acheni kujisemea ovyo.
Umeambiwa msanii wa kwanza kuwa na tovuti we unataja kundi mbona hatuelewi?!!!!!AY msanii wa kwanza bongo kuwa na tovuti?
Gangwe Mobb walikuwa na tovuti back in 2000.
Acheni kujisemea ovyo.
Ay anamiliki kipindi cha MKASI vile vile anawamanage wasanii wenzie wa hapa bongo,anaongoza afrika mashariki kwa kupiga sana show za nje akiwa na wasanii wa kimataifa,ana miliki maduka ya nguo matatu na maduka mawili ya spea za magari kaliakoo, ana nyumba 5 za kupangisha zikiwemo na guest ,ana husika kwenye club ya maisha,ana mashamba vile vile ana lima,ana miliki kituo cha watoto yatima msasani ,ameshafanya nyimbo na P.square,miss trinity,lily romeo,yamia,goldie wa big brother africa na sasa ana wimbo kafanya na sean kingstone inatoka january hii tarehe hajataja ni lini na amepata tuzo ya msanii bora wa africa mashariki 2011-2013 ,ana video za gharama kubwa mpaka sasa afrika mashariki hakuna anayemfikia.ameacha kufanya mziki wa kibongo bongo ameamua kufanya international zaidi.ana website yake na ndo msanii wa kwanza Tz kuwa tovuti,nyimbo zake zinapgwa sana MTV,BET,CMUSIC,B4U MUSIC,CHANNEL O NK,vile vile anafanya matangazo nakampuni mbali mbali za ulaya pamoja na supersport,anajipigia promo mwenyewe hayo ni machache nendeni kwenye website yake www. Ay.co.tz
Umeambiwa msanii wa kwanza kuwa na tovuti we unataja kundi mbona hatuelewi?!!!!!
Usitukane mamba wakati hujavuka mto
Vuguvugu Entertainment na Gangwe gear zao Dah sijui walitelezaga wapi hawa jamaa
Ww Gangwemobb.com hii ndo website inspector haroun alikuwa anaisemea je wewe na wewe unaisemea hiihii?mpaka leo sijui alitaka kusema nini!kutupa email address yao au website au ndo mixer ya email na website kitemeketemekeAY msanii wa kwanza bongo kuwa na tovuti?
Gangwe Mobb walikuwa na tovuti back in 2000.
Acheni kujisemea ovyo.
Diamond Anambinu Za Kujitafutia Umaarufu Pale Unapoanza Kupunga Kama Vile Kuvua Nguo Na Kuingia Na Njiwa Jukwaani.januari Anapiga Show Kwa Helcopta Decemba Kwa Basi
AY hawezi linganishwa na Dimond, AY anafanya music kama hobby sizani kama anafanya kama biashara kama sio hobby basi anapenda aonekane yeye ni wa level nyingine bila watu kumuona yeye ni wa level hizo.
Mimi si mpenzi wa Diamond ila kijana anapeperusha bendera ya Tz kisawasawa ,Nenda Zamba,Congo -Goma na Bukavu,Rwanda ,Malawi, Kenya,Uganda Sudan ya kusini,Nigeria utaamini kwani nyimbo zake zinapigwa achilia mbali ashapata mialiko kwa baazi ya hizo nchi kwenda kufanya show. AY ana jina kubwa ila kimusic hana mafanikio. AY ana mafanikio kwa biashara nyingine sio Music. Kina Chamilion wana mafankio kutokana na show nyingi kwa mwaka, sasa linganisha show anazofanya AY na Diamond kwa mwaka. Kushirikiana na wasanii wa nje ni mafanikio endapo lengo limetimia ila kwa AY hakuna kiitu coz nyimbo zenyewe zinapigiwa promo bongo tu baaada ya miezi miwili inabaki hadithi.
Haya magazeti ya udaku mnayoyadharau ndio promo yenyewe ,biashara ni matangazo,pia lazima utangaze kwenye media inayowafikia wengi kwa urahisi na gharama nafuu. Mlitaka ajitangaze kwenye Rai ,Tanzania Daima ama Mwananchi?
sawa...ila tukubali kwamba siku hizi anaimba ----- tu...
AY hawezi linganishwa na Dimond, AY anafanya music kama hobby sizani kama anafanya kama biashara kama sio hobby basi anapenda aonekane yeye ni wa level nyingine bila watu kumuona yeye ni wa level hizo.
Mimi si mpenzi wa Diamond ila kijana anapeperusha bendera ya Tz kisawasawa ,Nenda Zamba,Congo -Goma na Bukavu,Rwanda ,Malawi, Kenya,Uganda Sudan ya kusini,Nigeria utaamini kwani nyimbo zake zinapigwa achilia mbali ashapata mialiko kwa baazi ya hizo nchi kwenda kufanya show. AY ana jina kubwa ila kimusic hana mafanikio. AY ana mafanikio kwa biashara nyingine sio Music. Kina Chamilion wana mafankio kutokana na show nyingi kwa mwaka, sasa linganisha show anazofanya AY na Diamond kwa mwaka. Kushirikiana na wasanii wa nje ni mafanikio endapo lengo limetimia ila kwa AY hakuna kiitu coz nyimbo zenyewe zinapigiwa promo bongo tu baaada ya miezi miwili inabaki hadithi.
Haya magazeti ya udaku mnayoyadharau ndio promo yenyewe ,biashara ni matangazo,pia lazima utangaze kwenye media inayowafikia wengi kwa urahisi na gharama nafuu. Mlitaka ajitangaze kwenye Rai ,Tanzania Daima ama Mwananchi?
AY hawezi linganishwa na Dimond, AY anafanya music kama hobby sizani kama anafanya kama biashara kama sio hobby basi anapenda aonekane yeye ni wa level nyingine bila watu kumuona yeye ni wa level hizo.
Mimi si mpenzi wa Diamond ila kijana anapeperusha bendera ya Tz kisawasawa ,Nenda Zamba,Congo -Goma na Bukavu,Rwanda ,Malawi, Kenya,Uganda Sudan ya kusini,Nigeria utaamini kwani nyimbo zake zinapigwa achilia mbali ashapata mialiko kwa baazi ya hizo nchi kwenda kufanya show. AY ana jina kubwa ila kimusic hana mafanikio. AY ana mafanikio kwa biashara nyingine sio Music. Kina Chamilion wana mafankio kutokana na show nyingi kwa mwaka, sasa linganisha show anazofanya AY na Diamond kwa mwaka. Kushirikiana na wasanii wa nje ni mafanikio endapo lengo limetimia ila kwa AY hakuna kiitu coz nyimbo zenyewe zinapigiwa promo bongo tu baaada ya miezi miwili inabaki hadithi.
Haya magazeti ya udaku mnayoyadharau ndio promo yenyewe ,biashara ni matangazo,pia lazima utangaze kwenye media inayowafikia wengi kwa urahisi na gharama nafuu. Mlitaka ajitangaze kwenye Rai ,Tanzania Daima ama Mwananchi?