Na wewe hutunzi siri za wenzio?[emoji848]Classified
Na wewe hutunzi siri za wenzio?[emoji848]
Huwa nikiwa na jambo langu afu nataka familia nzima wajue..... huwa namuambia yeye! afu nampa angalizo..... usimuambie mtu...! dk 1 nyingi... habari zishaenea....Ahahhaa huwaga hawajioni kabisa
AhahahahahahhahaHuwa nikiwa na jambo langu afu nataka familia nzima wajue..... huwa namuambia yeye! afu nampa angalizo..... usimuambie mtu...! dk 1 nyingi... habari zishaenea....
Halafu ikitokea.... nikajua kuwa ameshatangaza... najifanya kumuuliza.... utamskia "yaani watu wambea kakangu..." nabaki nacheka!Ahahahahahahhaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na uzuri ushamjua vyemaaHalafu ikitokea.... nikajua kuwa ameshatangaza... najifanya kumuuliza.... utamskia "yaani watu wambea kakangu..." nabaki nacheka!
Hahahaaa. Yaani vile unamuhadithia tayari akilini anapangua nani akamuhadithie. πππKuna msela wangu mmoja huyo yeye ukimhadisia lolote haifiki saa limoja kishamwambia kila mtu. Hivi sasa nikikaa nae simhadisii kitu
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Na mimi namuambiaga yale mambo ambayo nataka familia iyajue.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na uzuri ushamjua vyemaa