Ndugu zangu katika kupambana na maisha kijana mwenzenu hatimaye nimepata IST na nimekamilisha taratibu zote za kuanza kufanya kazi ya Uber na Bolt. Gari ni yangu japo si mpya sana ila bado nzima kabisa nimefunga na AC.
Sasa kwa kuwa ndio naanza najua kuna mengi natakiwa kujifunza. Ningeomba madereva wazoefu mnisaidie uzoefu wenu kuhusu changamoto, fursa, utegaji mingo, malipo au lolote unafikiri linaweza nisaidia.
Pia vitu vya kuepuka nikiwa kazini.
Natanguliza shukrani. Nayeyuka!
Sasa kwa kuwa ndio naanza najua kuna mengi natakiwa kujifunza. Ningeomba madereva wazoefu mnisaidie uzoefu wenu kuhusu changamoto, fursa, utegaji mingo, malipo au lolote unafikiri linaweza nisaidia.
Pia vitu vya kuepuka nikiwa kazini.
Natanguliza shukrani. Nayeyuka!