- Thread starter
- #21
Mimi nilifanya mwenyewe tu nnajua kutumia adobe illustrator.We mdau aliekurekebishia mchongo wote hauna namba yake tufanye kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilifanya mwenyewe tu nnajua kutumia adobe illustrator.We mdau aliekurekebishia mchongo wote hauna namba yake tufanye kazi.
Aah kwahio ulisample vidocument vyote au sio! Kuna mtu aliwahi kunitengenezeaga hicho cha latra akakichora freshi kabisa. Sema ilienda zile zika expire wakawa wanadai mpya.Mimi nilifanya mwenyewe tu nnajua kutumia adobe illustrator.
Yes nilifanya hivyo. Kuna vitu ni very technical ukikosea utakwama inabidi uwe smart kuliko process yao. Wewe unataka kutumia gari gani kusajili?Aah kwahio ulisample vidocument vyote au sio
Gari yangu ni premio ila 1800ccYes nilifanya hivyo. Kuna vitu ni very technical ukikosea utakwama inabidi uwe smart kuliko process yao. Wewe unataka kutumia gari gani kusajili?
Kumbe basi wewe ni easy tu hiyo latra ndio uwa muziki.Aah kwahio ulisample vidocument vyote au sio! Kuna mtu aliwahi kunitengenezeaga hicho cha latra akakichora freshi kabisa. Sema ilienda zile zika expire wakawa wanadai mpya.
Sasa namba yake ndio nmeipotezaKumbe basi wewe ni easy tu hiyo latra ndio uwa muziki.
Okay inabidi uishushe cc zisizidi 1300.Gari yangu ni premio ila 1800cc
Duh aisee pole jitahidi ufanye. Mimi nimepiga siku mbili japo ugeni unanizingua ila si haba sikosi vocha na msosi hapa nataka nijaribu naeusiku nione kukoje leo.Sasa namba yake ndio nmeipoteza
Weekdays saa nne na wikiendi saa saba.Asante mkuu kwa ushauri. Jioni saa 10 mpaka saa ngapi kwa weekdays na weekends?
Na maeneo mazuri yenye wateja?Weekdays saa nne na wikiendi saa saba.
Tunasubiri madini mkuuMadem ni sumu. Hii kazi nimepiga kwa miez 6 nilipata sana pesa ngoja nitaandika siku uzi nikitulia ila ni Ajira nzuri kama utakua Smart.
kuwa na chenji za kutosha, usipandishe walevi na kuwa na kasilaha hata kanyundo kwa ajili ya night kaliNdugu zangu katika kupambana na maisha kijana mwenzenu hatimaye nimepata IST na nimekamilisha taratibu zote za kuanza kufanya kazi ya Uber na Bolt. Gari ni yangu japo si mpya sana ila bado nzima kabisa nimefunga na AC.
Sasa kwa kuwa ndio naanza najua kuna mengi natakiwa kujifunza. Ningeomba madereva wazoefu mnisaidie uzoefu wenu kuhusu changamoto, fursa, utegaji mingo, malipo au lolote unafikiri linaweza nisaidia.
Pia vitu vya kuepuka nikiwa kazini.
Natanguliza shukrani. Nayeyuka!
Utapata shida...Mi naomba kama kuna mtu ana account ya bolt aniazime niwe naitumia kwa muda flani.
Ofisi zao zipo victoriaMkuu hongera sana upo dar ?
Kama ndio, naomba kujua ofisi za bolt zilipo
Hawapo pale wameamaOfisi zao zipo victoria
Kwa experience yangu mpaka sasa. Hailipi.TUPE MREJESHO....MKUU KWELI BOLT INALIPA...?