mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Kwanini Hailipi? Na je unaendelea kuifanya au umeshaacha?Kwa experience yangu mpaka sasa. Hailipi.
Nini sababu za kusema hailipi? Umetumia vigezo gani ? Na je umejifunza Nini? Na Kipi unakosea/umekosea labda ungependa yeyote anayetaka kufanya Ajifunze Nini kwanza?...
Tunaomba msaada....