Kutingisha dishi ndio nini nieleweshe?Usije kutingisha dishi itakula kwako
Kuchezea app ili uchaji pesa nyingi zaidiKutingisha dishi ndio nini nieleweshe?
Okay hapo nimekupata. Mimi ndio naanza hata kutumia app ya driver ndio najifunza.Kuchezea app ili uchaji pesa nyingi zaidi
Wewe ushawai endesha bolt?Kuchezea app ili uchaji pesa nyingi zaidi
Usichakaze gari ya boss wakoInamaana hakuna madereva wa bolt umu au waliowahi kufanya au ndio zile zetu za kibongo kukunjiana
gari ni yake kamandaUsichakaze gari ya boss wako
Nipo Dar ndio. Bolt hawana ofisi kwa sasa mimi nilifanya kila kitu mtandaoni nikapata account.Mkuu hongera sana upo dar ?
Kama ndio, naomba kujua ofisi za bolt zilipo
Kwa nini usitengeneze? Ni rahisi tuMi naomba kama kuna mtu ana account ya bolt aniazime niwe naitumia kwa muda flani.
Tatizo sitaki kwenda kwenye process ndefu hiza za kukata bima mpya na kulipa Latra maana gari yangu ni ya 1800ccKwa nini usitengeneze? Ni rahisi tu
Asante mkuu kwa ushauri. Jioni saa 10 mpaka saa ngapi kwa weekdays na weekends?Wahi kuamka alfajiri, lala mchana kisha rudi mzigoni saa kumi jioni. Uwe mstaarabu, usikose chenji na zingatia alama za usalama barabarani.
Usiwe na tamaa maana kuna wadada wengi wanakuwa na mitego ili wasilipe nauli mkifika mwisho wa safari.
Okay sawa. Ila unaweza kucheza na documents mimi pia sikuwa hundred percent vingine nilijiongeza. Sema hizo cc zitakuumiza mafuta.Tatizo sitaki kwenda kwenye process ndefu hiza za kukata bima mpya na kulipa Latra maana gari yangu ni ya 1800cc
Naomba namna ya kuchezesha mkuu, utakuwa umenisaidia sana.Okay sawa. Ila unaweza kucheza na documents mimi pia sikuwa hundred percent vingine nilijiongeza. Sema hizo cc zitakuumiza mafuta.
Hiyo umpate mtu wa adobe. Mimi ninaweza ila kwa sasa sina utulivu nasaka kodi nikitoka asubh narudi usiku hoi na Ai inataka utulie.Naomba namna ya kuchezesha mkuu, utakuwa umenisaidia sana.
We mdau aliekurekebishia mchongo wote hauna namba yake tufanye kazi.Hiyo umpate mtu wa adobe. Mimi ninaweza ila kwa sasa sina utulivu nasaka kodi nikitoka asubh narudi usiku hoi na Ai inataka utulie.