Unanishauri nini mimi dereva ninaeanza kuendesha Uber na Bolt?

Kuna mzigo mtaani unaitwa Zuzu hiyo ni app ya kuchezesha hizo app zao zikuletee wateja unaweza ukawa k/koo msimbaz lakini uka cover mpak posta mpaka buguruni kigogo yani ukachukua large area mtu akirequest anakupata wewe kwanza hata akiwa mbali vp ila awe kwenye hizo location ambazo umezichagua na hiyo app ndo huwa inafanya michezo michafu ya kuongeza ruti ukiongeza ruti automatic na bei inaongezeka na mteja analipa hata kama bei ya mwanzo haikusoma hiyo ambayo umeingeza wakikugundua bolt wenyew wanakupiga burn ya wiki kadhaa wakikufungulia ukiendeleza michezo yako unakula burn ya milele
 
kuwa na chenji za kutosha, usipandishe walevi na kuwa na kasilaha hata kanyundo kwa ajili ya night kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…