Unanyimwa Maji Kisha Unalaumiwa Kwa Uchafu

Unanyimwa Maji Kisha Unalaumiwa Kwa Uchafu

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
UNANYIMWA MAJI KISHA UNALAUMIWA KWA UCHAFU WA KUTOKUOGA

Vita Vya Pili Vya Dunia Manazi wa Kijerumani waliwakusanya Wayahudi katika Ghetto Poland hawana maji wala vyoo.

Kisha wakawa wanawalaumu kwa uchafu.

Jamii moja inanyimwa elimu na matokeo yake jamii hiyo inakuwa masikini.

Jamii hii inajitahidi kujinasua katika hali ile ile ya kimasikini lakini ni wazi katika umasikini huwezi kukidhi viwango kwani viwango vinahitaji fedha.

Juhudi za masikini hawa zinawekewa vikwazo kwa kutakiwa kufanya mambo kwa vigezo vya matajiri.

Ndugu yangu Muislam iangalie video hii hadi mwisho kuna funzo kubwa ndani yake.

Vijana wa Kiislam wanarudishwa makwao ili kuwaepusha na hali duni wanayoishi hapo msikitini.

Wanarejeshwa makwao kwenye nyumba nzuri zenye umeme, maji na vyoo vya kuvuta vinavyotiririka maji muda wote.

Vitu wasivyokuwanavyo.

Wanarudishwa makwao wakaishi kwa starehe na kula vyakula vizuri ambavyo havipikwi kwenye kuni na mafiga kama hayo wanayopikia hapo msikitini.

Unaweza ukacheka kwani hakika haya ni maskhara.

Hiyo Qur'an na Uislam ambao wazazi wao wamewapeleka kusoma hapo masomo hayo yasubiri kwanza hadi msikiti utakapokuwa na mabweni yenye vitanda na magodoro mazuri na vyakula kupikwa katika majiko ya umeme au gesi.

Nani asiyejua maisha ya familia wanazotoka watoto hawa?

Kuna tofauti kati ya maisha yao hapo msikitini na huko nyumbani kwao wanakorejeshwa?

Kisa cha Manazi na Wajerumani katika Ghetto za Poland Vita Vya Pili Vya Dunia.


View: https://youtu.be/eYUPhm8guek?si=-ghapT0p9jxB7Mxh
 
UNANYIMWA MAJI KISHA UNALAUMIWA KWA UCHAFU WA KUTOKUOGA

Vita Vya Pili Vya Dunia Manazi wa Kijerumani waliwakusanya Wayahudi katika Ghetto Poland hawana maji wala vyoo.

Kisha wakawa wanawalaumu kwa uchafu.

Jamii moja inanyimwa elimu na matokeo yake jamii hiyo inakuwa masikini.

Jamii hii inajitahidi kujinasua katika hali ile ile ya kimasikini lakini ni wazi katika umasikini huwezi kukidhi viwango kwani viwango vinahitaji fedha.

Juhudi za masikini hawa zinawekewa vikwazo kwa kutakiwa kufanya mambo kwa vigezo vya matajiri.

Ndugu yangu Muislam iangalie video hii hadi mwisho kuna funzo kubwa ndani yake.

Vijana wa Kiislam wanarudishwa makwao ili kuwaepusha na hali duni wanayoishi hapo msikitini.

Wanarejeshwa makwao kwenye nyumba nzuri zenye umeme, maji na vyoo vya kuvuta vinavyotiririka maji muda wote.

Vitu wasivyokuwanavyo.

Wanarudishwa makwao wakaishi kwa starehe na kula vyakula vizuri ambavyo havipikwi kwenye kuni na mafiga kama hayo wanayopikia hapo msikitini.

Unaweza ukacheka kwani hakika haya ni maskhara.

Hiyo Qur'an na Uislam ambao wazazi wao wamewapeleka kusoma hapo masomo hayo yasubiri kwanza hadi msikiti utakapokuwa na mabweni yenye vitanda na magodoro mazuri na vyakula kupikwa katika majiko ya umeme au gesi.

Nani asiyejua maisha ya familia wanazotoka watoto hawa?

Kuna tofauti kati ya maisha yao hapo msikitini na huko nyumbani kwao wanakorejeshwa?

Kisa cha Manazi na Wajerumani katika Ghetto za Poland Vita Vya Pili Vya Dunia.


View: https://youtu.be/eYUPhm8guek?si=-ghapT0p9jxB7Mxh

Mohamed twambie hayo mafunzo yanahusu nini hadi yaonekane ni tishio kwa ulinzi na usalama?
 
UNANYIMWA MAJI KISHA UNALAUMIWA KWA UCHAFU WA KUTOKUOGA

Vita Vya Pili Vya Dunia Manazi wa Kijerumani waliwakusanya Wayahudi katika Ghetto Poland hawana maji wala vyoo.

Kisha wakawa wanawalaumu kwa uchafu.

Jamii moja inanyimwa elimu na matokeo yake jamii hiyo inakuwa masikini.

Jamii hii inajitahidi kujinasua katika hali ile ile ya kimasikini lakini ni wazi katika umasikini huwezi kukidhi viwango kwani viwango vinahitaji fedha.

Juhudi za masikini hawa zinawekewa vikwazo kwa kutakiwa kufanya mambo kwa vigezo vya matajiri.

Ndugu yangu Muislam iangalie video hii hadi mwisho kuna funzo kubwa ndani yake.

Vijana wa Kiislam wanarudishwa makwao ili kuwaepusha na hali duni wanayoishi hapo msikitini.

Wanarejeshwa makwao kwenye nyumba nzuri zenye umeme, maji na vyoo vya kuvuta vinavyotiririka maji muda wote.

Vitu wasivyokuwanavyo.

Wanarudishwa makwao wakaishi kwa starehe na kula vyakula vizuri ambavyo havipikwi kwenye kuni na mafiga kama hayo wanayopikia hapo msikitini.

Unaweza ukacheka kwani hakika haya ni maskhara.

Hiyo Qur'an na Uislam ambao wazazi wao wamewapeleka kusoma hapo masomo hayo yasubiri kwanza hadi msikiti utakapokuwa na mabweni yenye vitanda na magodoro mazuri na vyakula kupikwa katika majiko ya umeme au gesi.

Nani asiyejua maisha ya familia wanazotoka watoto hawa?

Kuna tofauti kati ya maisha yao hapo msikitini na huko nyumbani kwao wanakorejeshwa?

Kisa cha Manazi na Wajerumani katika Ghetto za Poland Vita Vya Pili Vya Dunia.


View: https://youtu.be/eYUPhm8guek?si=-ghapT0p9jxB7Mxh

" Kuna watu wanatafuta watoto hadi magodoro yanaisha"
Petro magoti 2024
 
Naona Mzee wangu hili jambo umelitazama Kwa jicho la Kidini zaidi

Lakini hofu ya Serikali imekuwa kubwa kutokana na historia ya mafunzo ambayo mara nyingi hutolewa kwenye hiyo Misikiti kuwa na mrengo wa Kiitikadi Kali.

Kumbuka Visa kama hivyo vilivyotokea Kilimanjaro/Arusha/Dodoma na hata Mtwara.

Watoto wadogo wanafundishwa mambo ya Kigaidi.

Suala la amani halina budi kuchukuliwa Kwa uzito Mkubwa.

Hatuna Nchi nyingine ya kukimbilia iwapo hali ya amani itachafuka Nchini.

Hatujasahau mambo yaliyotokea Kibiti na Mkuranga (MKIRU).

Sisi Waswahi tuna msemo wetu, Ukigongwa na Nyoka hata unyasi ukikugusa utahisi ni Nyoka.
 
UNANYIMWA MAJI KISHA UNALAUMIWA KWA UCHAFU WA KUTOKUOGA

Vita Vya Pili Vya Dunia Manazi wa Kijerumani waliwakusanya Wayahudi katika Ghetto Poland hawana maji wala vyoo.

Kisha wakawa wanawalaumu kwa uchafu.

Jamii moja inanyimwa elimu na matokeo yake jamii hiyo inakuwa masikini.

Jamii hii inajitahidi kujinasua katika hali ile ile ya kimasikini lakini ni wazi katika umasikini huwezi kukidhi viwango kwani viwango vinahitaji fedha.

Juhudi za masikini hawa zinawekewa vikwazo kwa kutakiwa kufanya mambo kwa vigezo vya matajiri.

Ndugu yangu Muislam iangalie video hii hadi mwisho kuna funzo kubwa ndani yake.

Vijana wa Kiislam wanarudishwa makwao ili kuwaepusha na hali duni wanayoishi hapo msikitini.

Wanarejeshwa makwao kwenye nyumba nzuri zenye umeme, maji na vyoo vya kuvuta vinavyotiririka maji muda wote.

Vitu wasivyokuwanavyo.

Wanarudishwa makwao wakaishi kwa starehe na kula vyakula vizuri ambavyo havipikwi kwenye kuni na mafiga kama hayo wanayopikia hapo msikitini.

Unaweza ukacheka kwani hakika haya ni maskhara.

Hiyo Qur'an na Uislam ambao wazazi wao wamewapeleka kusoma hapo masomo hayo yasubiri kwanza hadi msikiti utakapokuwa na mabweni yenye vitanda na magodoro mazuri na vyakula kupikwa katika majiko ya umeme au gesi.

Nani asiyejua maisha ya familia wanazotoka watoto hawa?

Kuna tofauti kati ya maisha yao hapo msikitini na huko nyumbani kwao wanakorejeshwa?

Kisa cha Manazi na Wajerumani katika Ghetto za Poland Vita Vya Pili Vya Dunia.


View: https://youtu.be/eYUPhm8guek?si=-ghapT0p9jxB7Mxh

Hapo walikuwa wanafundishwa nini hasa?
 
UNANYIMWA MAJI KISHA UNALAUMIWA KWA UCHAFU WA KUTOKUOGA

Vita Vya Pili Vya Dunia Manazi wa Kijerumani waliwakusanya Wayahudi katika Ghetto Poland hawana maji wala vyoo.

Kisha wakawa wanawalaumu kwa uchafu.

Jamii moja inanyimwa elimu na matokeo yake jamii hiyo inakuwa masikini.

Jamii hii inajitahidi kujinasua katika hali ile ile ya kimasikini lakini ni wazi katika umasikini huwezi kukidhi viwango kwani viwango vinahitaji fedha.

Juhudi za masikini hawa zinawekewa vikwazo kwa kutakiwa kufanya mambo kwa vigezo vya matajiri.

Ndugu yangu Muislam iangalie video hii hadi mwisho kuna funzo kubwa ndani yake.

Vijana wa Kiislam wanarudishwa makwao ili kuwaepusha na hali duni wanayoishi hapo msikitini.

Wanarejeshwa makwao kwenye nyumba nzuri zenye umeme, maji na vyoo vya kuvuta vinavyotiririka maji muda wote.

Vitu wasivyokuwanavyo.

Wanarudishwa makwao wakaishi kwa starehe na kula vyakula vizuri ambavyo havipikwi kwenye kuni na mafiga kama hayo wanayopikia hapo msikitini.

Unaweza ukacheka kwani hakika haya ni maskhara.

Hiyo Qur'an na Uislam ambao wazazi wao wamewapeleka kusoma hapo masomo hayo yasubiri kwanza hadi msikiti utakapokuwa na mabweni yenye vitanda na magodoro mazuri na vyakula kupikwa katika majiko ya umeme au gesi.

Nani asiyejua maisha ya familia wanazotoka watoto hawa?

Kuna tofauti kati ya maisha yao hapo msikitini na huko nyumbani kwao wanakorejeshwa?

Kisa cha Manazi na Wajerumani katika Ghetto za Poland Vita Vya Pili Vya Dunia.


View: https://youtu.be/eYUPhm8guek?si=-ghapT0p9jxB7Mxh

Ukijiaminisha wewe ni victim, utakuwa victim maisha yako yote wewe na jamii yako.

Dunia hii ya leo elimu hungojei kupewa, unaichukua mwenyewe.
 
Mohammed Said mimi ni mtu mmojawapo humu najitahidi kuheshimu mawazo yako. Lakini napata wasiwasi kama wewe siyo sehemu ya Islamic fundamentalists. Kweli unaweza kutetea vitu kama hivi? Mtu msomi kama wewe unayejua thamani ya elimu?

Huyu DC nimempenda kweli. Kaongea kama kiongozi mwenye hekima na busara. Keep it up Petro Magoti.
 
Naona Mzee wangu hili jambo umelitazama Kwa jicho la Kidini zaidi

Lakini hofu ya Serikali imekuwa kubwa kutokana na historia ya mafunzo ambayo mara nyingi hutolewa kwenye hiyo Misikiti kuwa na mrengo wa Kiitikadi Kali.

Kumbuka Visa kama hivyo vilivyotokea Kilimanjaro/Arusha/Dodoma na hata Mtwara.

Watoto wadogo wanafundishwa mambo ya Kigaidi.

Suala la amani halina budi kuchukuliwa Kwa uzito Mkubwa.

Hatuna Nchi nyingine ya kukimbilia iwapo hali ya amani itachafuka Nchini.

Hatujasahau mambo yaliyotokea Kibiti na Mkuranga (MKIRU).

Sisi Waswahi tuna msemo wetu, Ukigongwa na Nyoka hata unyasi ukikugusa utahisi ni Nyoka.
Grahams,
DC na Kamati ya Usalama hawajaifungia shule kwa sababu za ugaidi.

Ingekuwa ni ugaidi hiyo ni jinai na sheria ingechukua mkondo wake.
 
Grahams,
DC na Kamati ya Usalama hawajaifungia shule kwa sababu za ugaidi.
Ingekuwa ni ugaidi hiyo ni jinai na sheria ingechukua mkondo wake.
Hamuoni mna wakosea Watoto haki ya kupata Elimu Dunia(Formal Education)?

Kwa taarifa ya Mkuu wa Wilaya inaonesha, mafunzo yanatolewa hadi Kwa watoto wa miaka 3. Au tuseme miaka 8.

Mtoto wa miaka 8 anatakiwa kuwa class 3, nyie mnataka akakaririshwe Quran.

Kwa mwendo huo tutapata kweli Daktari wa kuja kututibu tukiugua?

Lakini kumbuka Mzee wangu, kumekuwa na mafunzo yenye mrengo huo lakini imekuwa kinyume chake, ndiyo hofu ya Serikali hapo.
 
Mohammed Said mimi ni mtu mmojawapo humu najitahidi kuheshimu mawazo yako. Lakini napata wasiwasi kama wewe siyo sehemu ya Islamic fundamentalists. Kweli unaweza kutetea vitu kama hivi? Mtu msomi kama wewe unayejua thamani ya elimu?

Huyu DC nimempenda kweli. Kaongea kama kiongozi mwenye hekima na busara. Keep it up Petro Magoti.
Masanja,
Fananisha kati ya majengo haya mawili hapo chini:

1720673539267.jpeg

1720673862758.png

[IMG alt="Roving Journalist"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/429/429096.jpg?1620204955[/IMG]

Roving Journalist

JF Roving Journalist​

Apr 18, 2017 3,054 12,442
GSLrDiIXkAE4YfS.jpeg

KUKANUSHA TAARIFA YA KUKAMATWA KWA MWANDISHI DICKSON NG'HILY NA MKUU WA WILAYA YA UBUNGO

Kumekuwa na taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Mkuu wa Wilaya ya Ubungo kumkamata mwandishi wa habari ambaye pia ni Mhariri wa biashara na Mkuu wa Kitengo cha Mtandaoni (digital) Ndugu Dickson Ng'hily kutoka Gazeti la The Guardian.

Taarifa hiyo imeeleza pia mwandishi huyo alipigwa sana na kuumizwa kwenye mkono na simu yake kuvunjiwa kioo huku sababu ikielezwa kuwa ni kupiga picha wanafunzi wa Shule ya Msingi Kwembe waliokuwa wanasoma chini ya mti. Taarifa hiyo iliendelea kueleza kuwa mwandishi huyo alipelekwa ofisi ya Serikali ya Mtaa na baadaye kushikiliwa katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo anapenda kukanusha taarifa hiyo iliyoleta tahahuruki kwa wananchi na waandishi wa habari. Ukweli ni kwamba mwandishi huyo hakupigwa na mtu yeyote isipokuwa aliulizwa na Mwalimu Mkuu kwa nini anapiga picha bila ridhaa yao wala kujitambulisha.

Baada ya mwandishi huyo kukataa kutoa ushirikiano alipelekwa Ofisi ya Serikali ya Mtaa na baadaye akapelekwa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kwa ajili ya kujiridhisha kama kweli ni mwandishi na ana kibali cha kufanya kazi hiyo.

Hata hivyo leo Julai 10, 2024, Mhe. Mkuu wa Wilaya alikuwa kwenye ziara ya Waziri wa Mambo ya Ndani kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Mburahati na hivyo hakuhusika wala kutoa amri yoyote kuhusu kukamatwa kwa mwandishi huyo.

Aidha, ni kweli kuwa wanafunzi walikuwa nje ya madarasa yao kwa ajili ya programu maalumu ya kufanya masahihisho ya mtihani wa Utamilifu (mock) Mkoa, hivyo kimsingi shule haina wanafunzi wanaosomea nje kwa kukosa madarasa.

Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo inathamini na kutoa ushirikiano kwa waandishi wa habari katika kufanikisha kazi yao muhimu ya kuhabarisha Umma juu ya shughuli mbalimbali za maendeleo.

Hata hivyo, ni muhimu Waandishi wa Habari kufanya kazi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni, taratibu na miongozo katika kutimiza haki yao ya kutafuta, kuchakata na kusambaza habari.

Joina Nzali
KAIMU MKUU WA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI

Taarifa za nyuma kuhusu tukio hili soma bofya hapa:
~ THRDC yakemea Mwandishi wa Habari kukamatwa kwa kupiga picha Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kwembe wakisoma chini ya mti

~ Mwandishi wa Habari wa The Guardian anadai amepigwa na Walimu baada ya kupiga picha Wanafunzi wakisoma chini ya miti
 
Hamuoni mna wakosea Watoto haki ya kupata Elimu Dunia(Formal Education)?

Kwa taarifa ya Mkuu wa Wilaya inaonesha, mafunzo yanatolewa hadi Kwa watoto wa miaka 3. Au tuseme miaka 8.

Mtoto wa miaka 8 anatakiwa kuwa class 3, nyie mnataka akakaririshwe Quran.

Kwa mwendo huo tutapata kweli Daktari wa kuja kututibu tukiugua?

Lakini kumbuka Mzee wangu, kumekuwa na mafunzo yenye mrengo huo lakini imekuwa kinyume chake, ndiyo hofu ya Serikali hapo.
Grahams,
Tazama video na angalia DC anawauliza wamafunzi hao wamesoma hadi darasa la ngapi.

Hakuna mtoto wa miaka 3 au 8 hapo.
Usiwe na papara ya kuandika.

Elewa kwanza ndiyo uje hapa ujibizane na mimi.
 
UNANYIMWA MAJI KISHA UNALAUMIWA KWA UCHAFU WA KUTOKUOGA

Vita Vya Pili Vya Dunia Manazi wa Kijerumani waliwakusanya Wayahudi katika Ghetto Poland hawana maji wala vyoo.

Kisha wakawa wanawalaumu kwa uchafu.

Jamii moja inanyimwa elimu na matokeo yake jamii hiyo inakuwa masikini.

Jamii hii inajitahidi kujinasua katika hali ile ile ya kimasikini lakini ni wazi katika umasikini huwezi kukidhi viwango kwani viwango vinahitaji fedha.

Juhudi za masikini hawa zinawekewa vikwazo kwa kutakiwa kufanya mambo kwa vigezo vya matajiri.

Ndugu yangu Muislam iangalie video hii hadi mwisho kuna funzo kubwa ndani yake.

Vijana wa Kiislam wanarudishwa makwao ili kuwaepusha na hali duni wanayoishi hapo msikitini.

Wanarejeshwa makwao kwenye nyumba nzuri zenye umeme, maji na vyoo vya kuvuta vinavyotiririka maji muda wote.

Vitu wasivyokuwanavyo.

Wanarudishwa makwao wakaishi kwa starehe na kula vyakula vizuri ambavyo havipikwi kwenye kuni na mafiga kama hayo wanayopikia hapo msikitini.

Unaweza ukacheka kwani hakika haya ni maskhara.

Hiyo Qur'an na Uislam ambao wazazi wao wamewapeleka kusoma hapo masomo hayo yasubiri kwanza hadi msikiti utakapokuwa na mabweni yenye vitanda na magodoro mazuri na vyakula kupikwa katika majiko ya umeme au gesi.

Nani asiyejua maisha ya familia wanazotoka watoto hawa?

Kuna tofauti kati ya maisha yao hapo msikitini na huko nyumbani kwao wanakorejeshwa?

Kisa cha Manazi na Wajerumani katika Ghetto za Poland Vita Vya Pili Vya Dunia.


View: https://youtu.be/eYUPhm8guek?si=-ghapT0p9jxB7Mxh

Mzee kwenye swala la usalama usilete ujuaji acha vyombo vifanyebkazi yake hata humo ndani ya vyombo kuna waislamu wengi sana wanjua nyeupe na nyeusi.
 
Ukijiaminisha wewe ni victim, utakuwa victim maisha yako yote wewe na jamii yako.

Dunia hii ya leo elimu hungojei kupewa, unaichukua mwenyewe.
Na huu Ndio ukweli ambao hata yy anaufahamu.Kama asingetaka kufahamu na kuelimika na yy angekuwa huko kwenye kambi na angepeleka wajukuu zake huko kwenye kambi za kidini
 
Mzee kwenye swala la usalama usilete ujuaji acha vyombo vifanyebkazi yake hata humo ndani ya vyombo kuna waislamu wengi sana wanjua nyeupe na nyeusi.
Covid,
Mbona shule hiyo hapo chini haijavamiwa usiku na manane na kufungwa?

1720674496665.png
 
Na huu Ndio ukweli ambao hata yy anaufahamu.Kama asingetaka kufahamu na kuelimika na yy angekuwa huko kwenye kambi na angepeleka wajukuu zake huko kwenye kambi za kidini
Mas...
''Sio kila mwenye Taarifa ana Maarifa na Wala si kila mwenye Maarifa ana Taarifa.Kupata Maarifa lazima uwe na Taarifa na kupata Taarifa lazima Uwe na Maarifa.Kujua kuwa hujui ndio kujua kwenyewe.''

Unaijua shule hiyo hapo chini?:
1720674754190.png
 
Back
Top Bottom