Mkuu Sina uwezo wa kuendelea kubishana wakati tayari umeshachagua upande...Grahams,
Tazama video na angalia DC anawauliza wamafunzi hao wamesoma hadi darasa la ngapi.
Hakuna mtoto wa miaka 3 au 8 hapo.
Usiwe na papara ya kuandika.
Elewa kwanza ndiyo uje hapa ujibizane na mimi.
Mkaza...Mzee kuna kitu unajitahidi sana kukitengeneza. Hata hivyo hivyo tunawashukuru Watanganyika hawako tayari kwa hicho
Sawa baadae tafuta habari kamili utuletee tuhabarike.Bush...
Sijui.
Grahams,Mkuu Sina uwezo wa kuendelea kubishana wakati tayari umeshachagua upande...
Unaamini hicho kilichofanyika hapo dhidi ya Waislamu wenzako ni uonevu.
Lakini swali la kujiuliza, ingekuwa ni watoto wako wa kuwazaa ungeruhusu wakakae kwenye mazingira yale na kupewa aina hiyo ya maarifa?
Bush...Sawa baadae tafuta habari kamili utuletee tuhabarike.
Huyu mzee mtu wa ajabu kabisa,Hapo walikuwa wanafundishwa nini hasa?
Mkuu wa Wilaya hajapinga watoto kufunzwa mambo ya dini.Anachopinga ni kuwalaza watoto katika eneo ambalo sio salama kiusalama na kiafya. Sidhani kama atakuwa na tatizo kama hao watoto watakuwa wanaenda kulala sehemu nyingine baada ya mafunzo yao. Angekuwa ana matatizo na mafunzo ya hapo mahali asingesema kuwa warudi mabweni yatakapokamilika.
then wote wametoka makwao, wameacha familia zao wasome Qur’an?Det...
DC kawauliza wanafunzi wanasoma kitu gani?
Wanafunzi wamemjibu, ''Qur'an.''
japokuwa umemjibu huyo bwana, watoto wanaotoka kwenye mazingira magumu huwa wanapelekwa kwenye vituo ambavyo vinatambulika na serikal kuwa vinafanya kazi hiyo.Grahams,
Unadhani hawa watoto wanatoka kwenye mazingira bora kuliko hayo ya hapo msikitini?
Watoto hawa wameulizwa na DC na wamemueleza kuwa wao wameletwa na wazazi wao na wengi wameishia darasa la saba.
DC na Kamati ya Usalama wanaweza kuwa na uchungu wa hawa watoto kuwashinda baba na mama zao?
Nafikiri Naisikia TU.Hata hivyo tukubali tu kwamba Mazingira ya Kuishi na kulala Msikitini kwa muda mrefu Bil kuwa na Hostel Maalum zenye HaMas...
''Sio kila mwenye Taarifa ana Maarifa na Wala si kila mwenye Maarifa ana Taarifa.Kupata Maarifa lazima uwe na Taarifa na kupata Taarifa lazima Uwe na Maarifa.Kujua kuwa hujui ndio kujua kwenyewe.''
Unaijua shule hiyo hapo chini?:
View attachment 3039000
MNAFUNDISHA WATOTO UGAIDI MNASINGIZIA DINI!SHAME ON YOU ALL!UNANYIMWA MAJI KISHA UNALAUMIWA KWA UCHAFU WA KUTOKUOGA
Vita Vya Pili Vya Dunia Manazi wa Kijerumani waliwakusanya Wayahudi katika Ghetto Poland hawana maji wala vyoo.
Kisha wakawa wanawalaumu kwa uchafu.
Jamii moja inanyimwa elimu na matokeo yake jamii hiyo inakuwa masikini.
Jamii hii inajitahidi kujinasua katika hali ile ile ya kimasikini lakini ni wazi katika umasikini huwezi kukidhi viwango kwani viwango vinahitaji fedha.
Juhudi za masikini hawa zinawekewa vikwazo kwa kutakiwa kufanya mambo kwa vigezo vya matajiri.
Ndugu yangu Muislam iangalie video hii hadi mwisho kuna funzo kubwa ndani yake.
Vijana wa Kiislam wanarudishwa makwao ili kuwaepusha na hali duni wanayoishi hapo msikitini.
Wanarejeshwa makwao kwenye nyumba nzuri zenye umeme, maji na vyoo vya kuvuta vinavyotiririka maji muda wote.
Vitu wasivyokuwanavyo.
Wanarudishwa makwao wakaishi kwa starehe na kula vyakula vizuri ambavyo havipikwi kwenye kuni na mafiga kama hayo wanayopikia hapo msikitini.
Unaweza ukacheka kwani hakika haya ni maskhara.
Hiyo Qur'an na Uislam ambao wazazi wao wamewapeleka kusoma hapo masomo hayo yasubiri kwanza hadi msikiti utakapokuwa na mabweni yenye vitanda na magodoro mazuri na vyakula kupikwa katika majiko ya umeme au gesi.
Nani asiyejua maisha ya familia wanazotoka watoto hawa?
Kuna tofauti kati ya maisha yao hapo msikitini na huko nyumbani kwao wanakorejeshwa?
Kisa cha Manazi na Wajerumani katika Ghetto za Poland Vita Vya Pili Vya Dunia.
View: https://youtu.be/eYUPhm8guek?si=-ghapT0p9jxB7Mxh
Old...MNAFUNDISHA WATOTO UGAIDI MNASINGIZIA DINI!SHAME ON YOU ALL!
Imani Yako inakufanya kama hujaenda shule hivi kweli kwa mazingira hayo mtoto wako ungeweza kum dump! Mbona DC kaeleza vizuri na utaratibu!UNANYIMWA MAJI KISHA UNALAUMIWA KWA UCHAFU WA KUTOKUOGA
Vita Vya Pili Vya Dunia Manazi wa Kijerumani waliwakusanya Wayahudi katika Ghetto Poland hawana maji wala vyoo.
Kisha wakawa wanawalaumu kwa uchafu.
Jamii moja inanyimwa elimu na matokeo yake jamii hiyo inakuwa masikini.
Jamii hii inajitahidi kujinasua katika hali ile ile ya kimasikini lakini ni wazi katika umasikini huwezi kukidhi viwango kwani viwango vinahitaji fedha.
Juhudi za masikini hawa zinawekewa vikwazo kwa kutakiwa kufanya mambo kwa vigezo vya matajiri.
Ndugu yangu Muislam iangalie video hii hadi mwisho kuna funzo kubwa ndani yake.
Vijana wa Kiislam wanarudishwa makwao ili kuwaepusha na hali duni wanayoishi hapo msikitini.
Wanarejeshwa makwao kwenye nyumba nzuri zenye umeme, maji na vyoo vya kuvuta vinavyotiririka maji muda wote.
Vitu wasivyokuwanavyo.
Wanarudishwa makwao wakaishi kwa starehe na kula vyakula vizuri ambavyo havipikwi kwenye kuni na mafiga kama hayo wanayopikia hapo msikitini.
Unaweza ukacheka kwani hakika haya ni maskhara.
Hiyo Qur'an na Uislam ambao wazazi wao wamewapeleka kusoma hapo masomo hayo yasubiri kwanza hadi msikiti utakapokuwa na mabweni yenye vitanda na magodoro mazuri na vyakula kupikwa katika majiko ya umeme au gesi.
Nani asiyejua maisha ya familia wanazotoka watoto hawa?
Kuna tofauti kati ya maisha yao hapo msikitini na huko nyumbani kwao wanakorejeshwa?
Kisa cha Manazi na Wajerumani katika Ghetto za Poland Vita Vya Pili Vya Dunia.
View: https://youtu.be/eYUPhm8guek?si=-ghapT0p9jxB7Mxh
Nyio...Imani Yako inakufanya kama hujaenda shule hivi kweli kwa mazingira hayo mtoto wako ungeweza kum dump! Mbona DC kaeleza vizuri na utaratibu!