Unaoaje mtu hajui kupika wala hataki kukaa karibu na maji?

Unaoaje mtu hajui kupika wala hataki kukaa karibu na maji?

mlinzi mlalafofofo

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2008
Posts
725
Reaction score
1,282
Tunajua mkiwa wenyewe mtakula vibandani sasa sisi wageni tukiwatembelewa inakuwaje? je mtatupeleka huko vibandani au mtatuagizia chipsi kwa mangi?

halafu mtu uyo gani anaogopa maji au dume hilo? maana navojua hao watu na maji inatakiwa wao na maji, maji na wao yani kama pipa na mfuniko wake
 
Tunajua mkiwa wenyewe mtakula vibandani sasa sisi wageni tukiwatembelewa inakuwaje? je mtatupeleka huko vibandani au mtatuagizia chipsi kwa mangi?

hlf mtu uyo gani anaogopa maji au dume hilo? maana navojua hao watu na maji inatakiwa wao na maji, maji na wao yani kama pipa na mfuniko wake
Wanaitwa slay queens hawana msaada
 
Nadhani Ni Wakati,,Mtafutie Mwenzake Sasa Anayejua Kupika Haswaa Kama Uko njema Kwanza Kwenye Afya Ya Mifupa Damu Na Nyama na Kiuchumi Pia,,Watafundishana Na Kubadilishana Ujuzi Kwa Yale Ambayo Kila Mmoja Kwa Upande Wake Anayafahamu,,Anayatambua Na Anayoyajua Cha Msingi Waelewane ili Uwe Unainjoi Nao Pamoja Faragha Akiwa Shosti Wake Wa Karibu Ambayo Hajabahatika Kuwa Kwenye Ndoa Itanoga Zaidi###LanguNenoSiSheria###
 
Mama la mama apike, huyo beki 3 ana kazi gani?

Akiungua huko jikoni itakuaje.

Unatakiwa ujue kuitumia hela, yaani nina kibunda halafu mama la mama aingie jikoni??? How come!!
watu ni kama wanabishana na ukweli

atapika saangapi wakati anashinda kazini kama tujuavyo maisha ya siku hizi
 
Back
Top Bottom