Unaoga mara ngapi kwa siku?

Unaoga mara ngapi kwa siku?

Naoga basi tu ila sipendi kuoga kabisa.

Nkipata mara 1 tu inanitosha.

Ila Naoga kweli. Nikiingia bafuni utanisahau
 
Unapoamka unaoga, baada ya mishughuliko ya siku jioni unaoga! Kuna zaidi ya hapo? Jibu ni mara mbili kwa siku, labda uwe na matatizo.
 
A real man should bath three times a day
Asubuhi macho
Mchana mikono
Usiku miguu
Are we together?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mmh..![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hili swali ili takiwa uulize kwa wiki sio siku
 
Kuoga ni ushahidi ulikua mchafu, kuoga kwingi ni uthibitisho wa uchafu mwingi
 
Back
Top Bottom