Unaoga mara ngapi kwa siku?

Nilikua IRINGA wiki iliopita, Kwa wiki naoga mara 3
 
Kipindi NPO advnc nyanda za juu kusini kuoga ni mpk nicheze mpira kwa wiki x3 au 4
Nlovyokuwa jkt Arusha uko kama ckosei miez yote mi3 kuoga full body cjh mara2 tu

All in all kuoga sana bhn yaan unajifungiaje mwnyw sehemu na kuanza kujishikashika kama mchawi
 
Kwani hamna njia nyingine ya kuoga bila ya kutumia maji?
 
Wewe Ni ke?
 
kuna walioofikisha mwezi bila kuoga?..nauliza tu!
tupowengi tu humu!! hasa tunaoendesha magari makubwa ya mizigo kwenda DRC , Zambia, angola, Nigeria, Ethiopia tunachofanya ni kunawisha vikwapa vyetu tu!!
 
tupowengi tu humu!! hasa tunaoendesha magari makubwa ya mizigo kwenda DRC , Zambia, angola, Nigeria, Ethiopia tunachofanya ni kunawisha vikwapa vyetu tu!!
KUNA MAGARI YANATOKA HAPA NA KWENDA NIGERIA???
 
Kuna viumbe hapa tz nimekutanao. . Aisee wako sijui dunia ya wapi 😱 wiki inapita hawaogi
 
Harafu kuna kabila moja itakua sio poa nikalitaja, makabila mengine sijui. Aighhh Wananuka vikwapa mzee, inaoga alakini bado inanuka vikwapa mzeee. I don know ni maradhi ama!
 
Harafu kuna kabila moja itakua sio poa nikalitaja, makabila mengine sijui. Aighhh Wananuka vikwapa mzee, inaoga alakini bado inanuka vikwapa mzeee. I don know ni maradhi ama!
amsha amsha nyingi ziko kwapani wewe vepe!! wanaacha maksudi hao najua unasema warangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…