Unaogea sabuni gani yenye manukato mazuri?

Unaogea sabuni gani yenye manukato mazuri?

Ndugu wanaJF
Kuna umuhimu wa kuogea sabuni yenye harufu nzuri tena ambayo mpenz wako anaipenda, ama waweza kuogea sabuni yoyote hata Omo ilimradi uwe umeoga?

Nimeuliza hivi kwasababu sabuni hazipewi vipao mbele kama perfume na lotion. Kuna sabuni zingine ukiogea hata kama umejispry perfume, bado utasikia harufu yake, sasa ukikuta harufu yake siyo nzuri!
Mjulishe mpenz wako ungependa aogee sabuni ya aina gani ambayo unaipenda sana harufu yake.

Mpango wa vikolezo vya kufanya mwili unukie kwa wengine ni kero. Bora wengine wafurahie kujua sabuni gani inakufaanya usiwe na harufu yo yote ila ubaki nutra ndio mpango mzima.
 
Hakuna moment naipenda kama kuoga...hivyo niko tayari ku spend kiasi chochote nipate sabuni inayonivutia...na napenda kubadili harufu tofauti tofauti...

Nilishangaa kuwa tuko wengi tunaopenda kuoga...kuna colleague zangu walianzisha hiyo topic...yani ukiwa bafuni na sabuni nzuri una refresh mawazo kinoma....nadhani ni hobby ya wanawake wengi kuoga na sabuni nzuri (si zenye harufu kali maana wengine tuna allergy...kuna harufu nyingi nzuri)
 
Mpango wa vikolezo vya kufanya mwili unukie kwa wengine ni kero. Bora wengine wafurahie kujua sabuni gani inakufaanya usiwe na harufu yo yote ila ubaki nutra ndio mpango mzima.

upo sawa, kama sabuni Jamaa na mafuta ni Vestline au Nivea mgando...au ni alizet mkuu?
 
aiseeer itabidi nijaribu

kuna hii inaitwa kodrai ipo vzr sana pia ila kuna msabuni flani wa nje mzuri tu sema mkubwa mpk kwenye mkono unazidi ni rahisi kuponyoka
 
Back
Top Bottom