Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,833
- 11,173
Wengine hapa hata hela ya kubadilisha mboga tunashindwa wewe unatuletea mambo sijui naogea sabauni gani?
Wewe mtoto wa kishua acha kutudharau bana na kumbuka aliyekupa wewe neema ndiyo kaninyima mm!
Sabuni ya kuogea ni luxury product kwangu yyt ile bafuni ya mpangaji mwenzangu nikiikuta mm natumia
Wewe mtoto wa kishua acha kutudharau bana na kumbuka aliyekupa wewe neema ndiyo kaninyima mm!
Sabuni ya kuogea ni luxury product kwangu yyt ile bafuni ya mpangaji mwenzangu nikiikuta mm natumia