Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nyie watoto wa kishua bana!Mm sabuni yangu ni MBUNI
Hahahaaaa! sis umetisha! magwanji kweli? hiyo si ndo mnaitumia kuoshea masufuria bhana? hahahaaa!
Tumia na jamaa ya kenya kama mkuu lyinga.!
Hahahaaaa, Magwanji... noma sana
Hiyo ni sabuni we umewaza mambo yako tuMmmmmh! Majina mengine huwa yanaleta tashwishwi.
Kitu RUNGU, inatakatisha balaa
Ni brand new au itakuwa na povu kweli hiyo?lol....mie naogea dudu. unaijua?
Sabuni Nivea
Lotion: Nivea
Deodorant: Nivea
Spray: Nivea
Hamna ila inansaidia sana kwenye ngozi yangu tangu nianze kutumia ni mwaka sasa naendelea nayo
Napenda sana shower gels kama za Lux, na Dove. Siku nasoak kwenye tub nikitoka humo ngozi kama kitoto halafu nanukiaaa.
kuna sabuni ,kubwa mkononi kama Geisha mkuu ?kuna hii inaitwa kodrai ipo vzr sana pia ila kuna msabuni flani wa nje mzuri tu sema mkubwa mpk kwenye mkono unazidi ni rahisi kuponyoka
Thank ht ckujua km dove wana shower gels
Nilijua sabuni ua kawaida tu
Napenda sana products za dove. Ila kama unatumia sabuni tumia bar soap mana shower gel yake si nzuri.
Mi natumia shampoo na conditioner yake. Na body spray. Sabuni ilinishinda mana inateleza sana.
kuna sabuni ,kubwa mkononi kama Geisha mkuu ?
Ni brand new au itakuwa na povu kweli hiyo?lol....
okey thanksimperial leather familly mkuu