Sema wewe hujawahi ila wanaosuta wapo,.sisi hatujui kusuta zaidi ni matusi ya nguoni tu tutakuvurumushia
Na kifo chake kwenye sofa.........Naogopa Mende...🥺
Kuuumwa nishai sana .Kila kitu kinakuwa hakina thamani aisee.
ShetaniKatika maisha Yako ukiachana na umauti ambao Kila nafsi itaonja., Ni jambo gani hutamani likutokee Mimi binafsi naogopa Radhi za wazazi na kupata maradhi makubwa kama AIDS na Kansa. Je wewe mwenzangu unaogopa nini lisikukute Jambo gani maisha?
Mnamsingizia shetani kila kitu...wakati mwingine ni sisi wenyeweShetani hana rafiki anawatisha hadi madiwani wazi wazi
hakuna kitu kama hichoNaogopa kuikosa Mbingu
Mkuu niliumwa macho siku tatu tuu niliambiwa ni aleji sijui imetoka wapi.Kila kitu nilikuwa nakiona hakina maana ,mpaka nikawa natamani niyang'oe.Ndio kipindi nimesali kimya kimya na kwa sauti.Afya njema ni mtaji aisee nimekubalii.Absolute HEALTH is WEALTH.
Afya ndo kila kitu hapa duniani.
Ndio ndio😁Na kifo chake kwenye sofa.........
Dah hapo kwenye ugonjwa dah! Unanyanyapaliwa bado ukiwa hai. Very disturbing.Mimi naogopa mambo mawili
Financial broke
Kuumwa ugonjwa wa kukulaza ndani
Mambo mengine you can afford to live with it.