Unapafahamu Maldives? Huenda ndiyo Sodoma na Gomora ya leo

Mi nahisi ni bahati mbaya afu aliipenda comment yako mlikuwa njia moja tatizo ni kutokutambua jinsi yako tu.Easy Kamanda plzzz

Hakuyaacha yaishe ila bado aliendelea kuniita majina mengine

Ila humu hatujuani na mtu kama unataka kumjua unaangalia michango yake humu

Hizi sehemu wanazoweka hapo mimi nikiwa na miaka 23 mwaka 1987 nilikuwa nimeisha toka Tz zamani na kutembelea nchi kama 23 na passport nimejaza 3

Sasa kama Pattaya na Phuket na Mumbai nimepita miaka ya 80 yeye sijui alikuwa wapi

Nimemuomba ila kaendeleza Ligi hanijui huyo

Utalii uko kwenye damu sasa yeye anaona mapichapicha anajiona kaiona dunia
 
Matendo ya kishetani ni matendo gani?
 
We ndio umeutendea uzi haki. Umeweka hoja with vivid examples bila kusahau picha
 
23-1987? Mimi nimezaliwa 1988 najionaga mkubwa kweli.Aisee SALUTE kwako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…