Unapafahamu Maldives? Huenda ndiyo Sodoma na Gomora ya leo

Unapafahamu Maldives? Huenda ndiyo Sodoma na Gomora ya leo

Spain ndo nchi ya pili kwa kuongoza kutembelewa na watalii wengi duniani.

Ila hawana mbuga Wala milima Wala wanyama.

Ngono zinawabeba sana[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ngoja kwanza sisi tuendelee kutengeneza movie tutangaze vivutio vyetu pasipo kuwa wabunifu kutengeneza vitu vya kuwafanya warudi ama waendelee kukaa zaidi.
 
Huwa najiuliza sana, huko watu wanafanya maasi ya kila aina na Mungu anawajaalia zaidi kila kukicha na hawana habari naye kabisa.


Sisi huku tunaokesha makanisani na misikitini mabalaa kibao, umasikini, njaa maradhi n.k
Ukiweza kujua farao alikuwa rangi gani na kwanini Musa alipokuwa anakua aliniona tofauti ndo utajua kwanini watu weupe wamebarikiwa na ngozi nyeusi haikubarikiwa
 
Kwa starehe za kiwango cha kutisha kwa sasa mahali pake ni katika visiwa Maldives vilivyopo ndani ya Bahari ya Hindi huko Asia.

Haipo starehe ndani ya Ulimwengu huu utaikosa huko Maldives!

Matendo ya kishetani yatendekayo katika visiwa vile ni zaidi ya kusimuliwa.

Usichokijua Visiwa hivyo vipo kwenye hatari ya kumezwa na Bahari ndiyo maana watu wengi wa Mungu wanadai hiyo pengine ni adhabu fanani na ya Sodoma na Gumola.
Kwahyo watu wasile bata kisa
 
Back
Top Bottom