Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Huwa najiuliza sana, huko watu wanafanya maasi ya kila aina na Mungu anawajaalia zaidi kila kukicha na hawana habari naye kabisa.
Aisee ngoja kwanza sisi tuendelee kutengeneza movie tutangaze vivutio vyetu pasipo kuwa wabunifu kutengeneza vitu vya kuwafanya warudi ama waendelee kukaa zaidi.Spain ndo nchi ya pili kwa kuongoza kutembelewa na watalii wengi duniani.
Ila hawana mbuga Wala milima Wala wanyama.
Ngono zinawabeba sana[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mimi ngoja nianzishe kububu twende woteWakati nina kibubu changu cha kwenda huko aisee
Ukiweza kujua farao alikuwa rangi gani na kwanini Musa alipokuwa anakua aliniona tofauti ndo utajua kwanini watu weupe wamebarikiwa na ngozi nyeusi haikubarikiwaHuwa najiuliza sana, huko watu wanafanya maasi ya kila aina na Mungu anawajaalia zaidi kila kukicha na hawana habari naye kabisa.
Sisi huku tunaokesha makanisani na misikitini mabalaa kibao, umasikini, njaa maradhi n.k
Basi Mungu angalau angetuona na sisi jinsi tunavyomkubuka [emoji23][emoji23]Ukiweza kujua farao alikuwa rangi gani na kwanini Musa alipokuwa anakua aliniona tofauti ndo utajua kwanini watu weupe wamebarikiwa na ngozi nyeusi haikubarikiwa
Na mimi ngoja nianzishe kububu twende wote
Kwa nn ukosekane lazima upo TuDeepPond Sasa hiv huko hakuna gono na Ukimwi? Ama wanapimwa kabla ya kwenda huko
Huko ndo pakwenda nikivunja kibubuπKulana mbususu barabarani tu peupe,sheria inakuruhusi
Kuiba kura, kukimbia na masanduku ya kura, kupita bila kupingwa, kudhulumu Watu haki ya kuishi ....Hayo matendo ya kishetani ni kama yapi?
Kwahyo watu wasile bata kisaKwa starehe za kiwango cha kutisha kwa sasa mahali pake ni katika visiwa Maldives vilivyopo ndani ya Bahari ya Hindi huko Asia.
Haipo starehe ndani ya Ulimwengu huu utaikosa huko Maldives!
Matendo ya kishetani yatendekayo katika visiwa vile ni zaidi ya kusimuliwa.
Usichokijua Visiwa hivyo vipo kwenye hatari ya kumezwa na Bahari ndiyo maana watu wengi wa Mungu wanadai hiyo pengine ni adhabu fanani na ya Sodoma na Gumola.
Chifu, labda unachanganya na sehemu nyingine, like Moldova or anything lakini sio Maldive ambao ni waumini wa ule upande mwingine.Wanahamia Australia π¦πΊ. Hata Tuvalu πΉπ» na ulokole wao kisiwa Chao kinazama
Mi nahisi ni bahati mbaya afu aliipenda comment yako mlikuwa njia moja tatizo ni kutokutambua jinsi yako tu.Easy Kamanda plzzzAlikuwa na nia ya kunitukana tu
Ila amejielewa
Tatizo la kufikiri kila mmoja ni rika dogo humu
Chifu, labda unachanganya na sehemu nyingine, like Moldova or anything lakini sio Maldive ambao ni waumini wa ule upande mwingine.Wanahamia Australia π¦πΊ. Hata Tuvalu πΉπ» na ulokole wao kisiwa Chao kinazama