Unapambana Biashara Ikue Lakini Gharama ya mkaa ina kula faida

Unapambana Biashara Ikue Lakini Gharama ya mkaa ina kula faida

Joined
Aug 28, 2024
Posts
9
Reaction score
22
Unapambana Biashara Ikue, Lakini Gharama ya Mkaa Inashusha Faida... Una Mpango Gani?

Fikiria hivi kwa Kg 5 za Mkaa Utaweza Kupika Chakula Cha Kilo 30 kwa Wakati Mmoja ?

Hii Inawezekana Kama Ukitumia Jiko Bomba La kg 30 ...


Hili Ni Jiko Kubwa La Kupikia Chakula Mpaka 30kg Kwa Wakati Mmoja

Lina Tumia Mkaa Wa Rafiki Briquettes 5kg Kuivisha Kilo 30 Za Chakula

Lina Mfumo wa Feni ya Kisasa – Inayotumia Umeme Wa DC ( 12V ) Kwa Ajili Ya Mzunguko Bora Wa Hewa.

Linakuja Na Switch Ya Kuwasha Na Kuzima,

Ina Sehemu Ya Kupunguza Na Kuongeza Kasi Ya Uchochezi Wa Moto,

Hivyo Kutoa Udhibiti Mzuri Wa Kupikia

Limejengwa Kwa Malighafi Imara Inayostahimili Joto Kali Na Mazingira Magumu

Lina Uwezo Wa Kudumu Kwa Muda Mrefu Hata Kwa Matumizi Ya Mara Kwa Mara...


Jiko La Kg 30 Gharama Yake Ni 1,850,000 Tshs.


Dar Es Salaam Ofisi Ipo Mbezi Luis...


Mawasiliano 0626752501
 

Attachments

  • 1002046421.jpg
    1002046421.jpg
    303.8 KB · Views: 1
Haya majiko si ndo mnasema yanatumia mawe na chenga za mkaa tu kumbe yana mkaa wake siyo mawe.
 
Back
Top Bottom