KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Mkuu nunua mabonge ya barafu tia na maji kwenye beseni kubwa uwe unajiloweka hivyo ndo tunavyopambana!Joto ni Kali sana jijini Dar es Salaam na hata kwenye baadhi ya mikoa.
AC unaweka hadi 16°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.
Wenzangu mnapambanaje na hili joto, naomba tupeane uzoefu.
😂🤣😂🤣😂🤣😂😂🤣😂😂😂🤣😂😂😂Mkuu nunua mabonge ya barafu tia na maji kwenye beseni kubwa uwe unajiloweka hivyo ndo tunavyopambana!
Yatayeyuka na kuwa ya uvuguvugu ndani ya dakika nne tuMkuu nunua mabonge ya barafu tia na maji kwenye beseni kubwa uwe unajiloweka hivyo ndo tunavyopambana!
Mungu ni muweza wa yoteImagine wewe una air-condition una lala mika kuna ambao hata feni hatuna na maisha yanaenda.
Anailalamikia AC kwa kushindwa kumbembelezaWanaume wa Dar mnadeka sana aisee 🙌
Mchana nzi usiku mbuImagine wewe una air-condition una lala mika kuna ambao hata feni hatuna na maisha yanaenda.
Mvua ikinyesha, wanalalamika.Anailalamikia AC kwa kushindwa kumbembeleza
Tumia AC yenye btu kubwa iko chumba ni kikubwaJoto ni Kali sana jijini Dar es Salaam na hata kwenye baadhi ya mikoa.
AC unaweka hadi 16°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.
Wenzangu mnapambanaje na hili joto, naomba tupeane uzoefu.
Na sasa wanalalamika swaumu kaliMvua ikinyesha, wanalalamika.
Joto, wanalalamika.
Baridi, wanalalamika.
Joto kiasi, wanalalamika.
Yn n kama mkoa wa walalamikaji 🙌
Afu ndo kwanza swaumu ipo kipindi cha kwanza dkk ya 10 😂Na sasa wanalalamika swaumu kali
Hata Njombe wenye hela ndio wadekao, choka mbaya watapambana na hali zaoWanaume wa Dar mnadeka sana aisee 🙌
BalaaaAfu ndo kwanza swaumu ipo kipindi cha kwanza dkk ya 10 😂
Dodoma joto ni la hatari,Kuna mtu alibisha kipo Bora joto na Baridi,Baridi rahisi kuizibiti,Joto ni Nomaa!Joto ni Kali sana jijini Dar es Salaam na hata kwenye baadhi ya mikoa.
AC unaweka hadi 16°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.
Wenzangu mnapambanaje na hili joto, naomba tupeane uzoefu.
Mkuu wewe si huwa una nunua zile u fresh za mia mia?Hapa jirani kuna jirani anauza juice za matunda, mia tano tu, baridiiiii...... Basi ni kujimiminia tu, kupooza koo na mwili