Unapambanaje na hii hali ya joto kali?

Unapambanaje na hii hali ya joto kali?

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Joto ni Kali sana jijini Dar es Salaam na hata kwenye baadhi ya mikoa.

AC unaweka hadi 16°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.

Wenzangu mnapambanaje na hili joto, naomba tupeane uzoefu.
 
Joto ni Kali sana jijini Dar es Salaam na hata kwenye baadhi ya mikoa.

AC unaweka hadi 16°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.

Wenzangu mnapambanaje na hili joto, naomba tupeane uzoefu.
Mkuu nunua mabonge ya barafu tia na maji kwenye beseni kubwa uwe unajiloweka hivyo ndo tunavyopambana!
 
Joto ni Kali sana jijini Dar es Salaam na hata kwenye baadhi ya mikoa.

AC unaweka hadi 16°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.

Wenzangu mnapambanaje na hili joto, naomba tupeane uzoefu.
Tumia AC yenye btu kubwa iko chumba ni kikubwa
 
Joto ni Kali sana jijini Dar es Salaam na hata kwenye baadhi ya mikoa.

AC unaweka hadi 16°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.

Wenzangu mnapambanaje na hili joto, naomba tupeane uzoefu.
Dodoma joto ni la hatari,Kuna mtu alibisha kipo Bora joto na Baridi,Baridi rahisi kuizibiti,Joto ni Nomaa!
 
Back
Top Bottom