KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
-
- #21
Baridi unaongeza tu nguo mwilini, joto hata ukivua nguo zote ndio linakuchapa zaidiDodoma joto ni la hatari,Kuna mtu alibisha kipo Bora joto na Baridi,Baridi rahisi kuizibiti,Joto ni Nomaa!
Weka picha tuone nyumba za huko zikojeKama uko Tandale na maeneo kama hayo funga AC nne, nyumba ina paa fupi kama banda la bata lazima iwe na joto
Kukaaa chini ya mti na kunywa maji mengi sanaJoto ni Kali sana jijini Dar es Salaam na hata kwenye baadhi ya mikoa.
AC unaweka hadi 16Β°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.
Wenzangu mnapambanaje na hili joto, naomba tupeane uzoefu.
Makete huko Bulongwa ndio atafaidi sana baridiHamia njombe
Nakula zile barafu za kienyeji kabisa za ukwaju. U fresh inavuruga tumbo, tumbo langu halijazoea tuvitu twa kizunguMkuu wewe si huwa una nunua zile u fresh za mia mia?
Utakojoa dagaaKukaaa chini ya mti na kunywa maji mengi sana
Dah afu ndo nimetoka kupiga mbili hapa muda sio mrefu πMkuu wewe si huwa una nunua zile u fresh za mia mia?
Nawa jua wazee wa daslam ππ€£Dah afu ndo nimetoka kupiga mbili hapa muda sio mrefu π
Unakinyonya tuuu πNawa jua wazee wa daslam ππ€£
Umeosha lini hiyo AC na ni AC aina gan mkuu?Joto ni Kali sana jijini Dar es Salaam na hata kwenye baadhi ya mikoa.
AC unaweka hadi 16Β°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.
Wenzangu mnapambanaje na hili joto, naomba tupeane uzoefu.
Dodoma ni sana kila kitu sana. Trachoma ni sana, ukoma ni sΓ na, vumbi ni sana, joto ni sana, upepo ni sana, nzi ni sana, uombaomba ni sana...Dodoma joto ni la hatari,Kuna mtu alibisha kipo Bora joto na Baridi,Baridi rahisi kuizibiti,Joto ni Nomaa!
Mixer mahindi mna weka limao na pilipili ya ungaππUnakinyonya tuuu π
LG, leo mafundi wametoka kuioshaUmeosha lini hiyo AC na ni AC aina gan mkuu?
AC unaweka hadi 16Β°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.
Comrade siku hizi silaha za kivita ziko active sana π
Bro, naishi Bahari Beach, ubavuni Mwa Ledger, one acre Beach plotDar hamna joto. Tafuta pesa ununue nyumba au kiwanja ujenge eneo jirani na bahari.
πππMkuu nunua mabonge ya barafu tia na maji kwenye beseni kubwa uwe unajiloweka hivyo ndo tunavyopambana!
Kinyamaaa Comrade πComrade siku hizi silaha za kivita ziko active sana π