Unapambanaje na hii hali ya joto kali?

Unapambanaje na hii hali ya joto kali?

Dodoma joto ni la hatari,Kuna mtu alibisha kipo Bora joto na Baridi,Baridi rahisi kuizibiti,Joto ni Nomaa!
Baridi unaongeza tu nguo mwilini, joto hata ukivua nguo zote ndio linakuchapa zaidi
 
Joto ni Kali sana jijini Dar es Salaam na hata kwenye baadhi ya mikoa.

AC unaweka hadi 16°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.

Wenzangu mnapambanaje na hili joto, naomba tupeane uzoefu.
Kukaaa chini ya mti na kunywa maji mengi sana
 
Joto ni Kali sana jijini Dar es Salaam na hata kwenye baadhi ya mikoa.

AC unaweka hadi 16°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.

Wenzangu mnapambanaje na hili joto, naomba tupeane uzoefu.
Umeosha lini hiyo AC na ni AC aina gan mkuu?
 
Dodoma joto ni la hatari,Kuna mtu alibisha kipo Bora joto na Baridi,Baridi rahisi kuizibiti,Joto ni Nomaa!
Dodoma ni sana kila kitu sana. Trachoma ni sana, ukoma ni sàna, vumbi ni sana, joto ni sana, upepo ni sana, nzi ni sana, uombaomba ni sana...
Dodoma ndio kuna jengo la kufanyia uombaomba, wenyewe wanaita bunge
 
AC unaweka hadi 16°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.
tea_mobama-_012515064953.jpg
 
Back
Top Bottom