Unapata wapi hii nguvu na ujasiri wa kumuliza mtu uliyegombana naye

Unapata wapi hii nguvu na ujasiri wa kumuliza mtu uliyegombana naye

Utajua wewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2024
Posts
928
Reaction score
1,836
Habari wanaJF,
Mimi nauliza tu watu mnapata wapi hii nguvu na ujasiri wa kumuliza mtu uliyegombana naye .

"Utanifanya nini?"

Ivi unahisi hana cha kukufanya?

Maisha ni marefu sana "kumuliza mtu utanifanya nini? "

Duniani watu wamechanganyikiwa na mengi unaweza ukauliza mtu "utanifanya nini??"

Akabuni kitu cha kukufanya hapohapo na sisi tukauzuri msiba wako.

"Tukiwa tunaambia tu Marehemu " aliuliza watamfanya nini ? " kweli unakufa kisa swali

hekima huwa ni kukaa zako kimya .
 
Ndugu wamefyekana kwa mali za urithi za Baba yao chanzo swali km hilo haya nimechukua zote zangu utanifanya nini? Jamaa kaenda kumkodia bastola na mndava mmoja akammalize anarudi akiwa kwenye bodaboda yake mndava huyu hapa hajauliza hata salamu kafyatua ya kichwa
Duuuh inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom