Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
Habari wanaJF,
Mimi nauliza tu watu mnapata wapi hii nguvu na ujasiri wa kumuliza mtu uliyegombana naye .
"Utanifanya nini?"
Ivi unahisi hana cha kukufanya?
Maisha ni marefu sana "kumuliza mtu utanifanya nini? "
Duniani watu wamechanganyikiwa na mengi unaweza ukauliza mtu "utanifanya nini??"
Akabuni kitu cha kukufanya hapohapo na sisi tukauzuri msiba wako.
"Tukiwa tunaambia tu Marehemu " aliuliza watamfanya nini ? " kweli unakufa kisa swali
hekima huwa ni kukaa zako kimya .
Mimi nauliza tu watu mnapata wapi hii nguvu na ujasiri wa kumuliza mtu uliyegombana naye .
"Utanifanya nini?"
Ivi unahisi hana cha kukufanya?
Maisha ni marefu sana "kumuliza mtu utanifanya nini? "
Duniani watu wamechanganyikiwa na mengi unaweza ukauliza mtu "utanifanya nini??"
Akabuni kitu cha kukufanya hapohapo na sisi tukauzuri msiba wako.
"Tukiwa tunaambia tu Marehemu " aliuliza watamfanya nini ? " kweli unakufa kisa swali
hekima huwa ni kukaa zako kimya .