Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
- Thread starter
- #21
Yani unakufa kibudu na Mungu haumwabuduNdo mrejesho huo, anakufyatua chali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani unakufa kibudu na Mungu haumwabuduNdo mrejesho huo, anakufyatua chali.
🤣🤣🤣Mlishaanza kitambo....msimsingizie buremuwe makini sasa hivi p didy ametufundisha kitu
Hajui kuwa watu zimefyatuka kulio waoHabari wanajf,
Mimi nauliza tu watu mnapata wapi hii nguvu na ujasiri wa kumuliza mtu uliyegombana naye .
"Utanifanya nini ??"
Ivi unahisi hana cha kukufanya ??
Maisha ni marefu sana "kumuliza mtu utanifanya nini ? "
Duniani watu wamechanganyikiwa na mengi unaweza ukauliza mtu "utanifanya nini??"
Akabuni kitu cha kukufanya hapohapo na sisi tukauzuri msiba wako.
"Tukiwa tunaambia tu Marehemu " aliuliza watamfanya nini ? "
kweli unakufa kisa swali
hekima huwa ni kukaa zako kimya .
We jamaa kuwa makini na maneno yako
Plug kichwani hazichomiHajui kuwa watu zimefyatuka kulio wao
Utanifanya nini?!We jamaa kuwa makini na maneno yako
🤣🤣🤣 Tuanzie hapo kwanza 🤒Utanifanya nini?!
MZEE CHAGUA KABISA NI MSIBA WA KUZIKA AMA WAKUSAFIRISHA MKOANIUtanifanya nini?!
Au ndo ataniua 😹🤣🤣🤣 Tuanzie hapo kwanza 🤒
Watazika manispaa tu.....MZEE CHAGUA KABISA NI MSIBA WA KUZIKA AMA WAKUSAFIRISHA MKOANI
ACHA KUMPONZA MWEKAZO🤣🤣🤣 Tuanzie hapo kwanza 🤒
Hata kwa herufi ndogo ningekuelewa mkuuACHA KUMPONZA MWEKAZO
Meno Chali👊Au ndo ataniua 😹
Niguse ninuke🤣~ alisikika marehemu mmojaHabari wanaJF,
Mimi nauliza tu watu mnapata wapi hii nguvu na ujasiri wa kumuliza mtu uliyegombana naye .
"Utanifanya nini ??"
Ivi unahisi hana cha kukufanya ??
Maisha ni marefu sana "kumuliza mtu utanifanya nini ? "
Duniani watu wamechanganyikiwa na mengi unaweza ukauliza mtu "utanifanya nini??"
Akabuni kitu cha kukufanya hapohapo na sisi tukauzuri msiba wako.
"Tukiwa tunaambia tu Marehemu " aliuliza watamfanya nini ? " kweli unakufa kisa swali
hekima huwa ni kukaa zako kimya .
😂😂kwahiyo saivi ni marehemuNiguse ninuke🤣~ alisikika marehemu mmoja
Inaonesha we ni raia wa kigeni😂😂kwahiyo saivi ni marehemu
Akanuka kweliNiguse ninuke🤣~ alisikika marehemu mmoja