Unapata wapi hii nguvu na ujasiri wa kumuliza mtu uliyegombana naye

Unapata wapi hii nguvu na ujasiri wa kumuliza mtu uliyegombana naye

Hii kauli kuna jamaa alishawahi nitamkia na vitisho kama vyote baada ya kuwa namdai kitu changu alinizulumu na hataki kunilipa. Siku ile namna nilivyokuwa najisikia ndio nilielewa kwa nini kuna watu wana kesi za mauaji. Mtu unamdai alafu anakuvimbia.
 
Nina assume huyo aliyesema hivyo ni mwanamke nadhani wakati ananena hayo atakuwa ameinama kidogo na sketi kaipandisha juu ya magoti huku tigh ikichungulia kwa mbaliii!
Yote kwa yote RIP
🤣Mwanamke eeh, huyo mwamba alikuwa anamsumbua chawa wa Magufuli wa kuitwa Petrosibus Musiba baada ya utawala kubadilika na kuanza kumdai Billion 8 🤣
 
🤣🤣🤣hii code ni ngumu kufungua
Hahahah kama hufuatili siasa za bongo huwezi kuijua hio😁 ila huyo aliyesema hio kauli alikuwa Godfather wa Nape Nauye na ndio alimuachia jimbo la Mtama.
 
Back
Top Bottom