Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
- Thread starter
- #41
WATANZANIA NA NDUGU ZAKO WANAKUPENDA USIFIKE HUKOWatazika manispaa tu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WATANZANIA NA NDUGU ZAKO WANAKUPENDA USIFIKE HUKOWatazika manispaa tu.....
Hapana mzeeInaonesha we ni raia wa kigeni
🤣🤣🤣hii code ni ngumu kufunguaAkanuka kweli
😄😄😄😂😂😂 unamuuliza marehemu kwamba?
Ukiendekeza nduguYani unakufa kibudu na Mungu haumwabudu
Nina assume huyo aliyesema hivyo ni mwanamke nadhani wakati ananena hayo atakuwa ameinama kidogo na sketi kaipandisha juu ya magoti huku tigh ikichungulia kwa mbaliii!Niguse ninuke🤣~ alisikika marehemu mmoja
Bariķiwa sana mtumishiUkiendekeza ndugu
Utavuna magugu
Utakufa kibudu
Na Mungu hutamwabudu
Wewe jamaa kwa muandiko tuu unaonekana mgomviAkiimalizia ile "ni" ya mwisho hapo hapo anakutana na Uppercut ukiipiga vizuri chini ya kidevu anaanguka kama gunia
🤣Mwanamke eeh, huyo mwamba alikuwa anamsumbua chawa wa Magufuli wa kuitwa Petrosibus Musiba baada ya utawala kubadilika na kuanza kumdai Billion 8 🤣Nina assume huyo aliyesema hivyo ni mwanamke nadhani wakati ananena hayo atakuwa ameinama kidogo na sketi kaipandisha juu ya magoti huku tigh ikichungulia kwa mbaliii!
Yote kwa yote RIP
Hahahah kama hufuatili siasa za bongo huwezi kuijua hio😁 ila huyo aliyesema hio kauli alikuwa Godfather wa Nape Nauye na ndio alimuachia jimbo la Mtama.🤣🤣🤣hii code ni ngumu kufungua