Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
Unanifanya nini?😂😂😂 unamuuliza marehemu kwamba?
😂😂😂 Akipigwa chuma kwenye medula unamuuliza tena kwamba alisema?Unanifanya nini?
Watu wamechanganyikiwa Acha tuu😂😂😂 Akipigwa chuma kwenye medula unamuuliza tena kwamba alisema?
Ndugu wamefyekana kwa mali za urithi za Baba yao chanzo swali km hilo haya nimechukua zote zangu utanifanya nini? Jamaa kaenda kumkodia bastola na mndava mmoja akammalize anarudi akiwa kwenye bodaboda yake mndava huyu hapa hajauliza hata salamu kafyatua ya kichwaWatu wamechanganyikiwa Acha tuu
Na hili swali limekaa katika utekelezaji sana sio ujìbujiKabisa ilo swali limekata kidharau hivi sasa wengine wakufanya ili uone watakufanya nn.
Duuuh inasikitisha sanaNdugu wamefyekana kwa mali za urithi za Baba yao chanzo swali km hilo haya nimechukua zote zangu utanifanya nini? Jamaa kaenda kumkodia bastola na mndava mmoja akammalize anarudi akiwa kwenye bodaboda yake mndava huyu hapa hajauliza hata salamu kafyatua ya kichwa
Ndio hivyo wamekosa wote mmoja kachimbiwa ardhini mwingine anasubiri nyundo mahakamani akale mvua za maishaDuuuh inasikitisha sana
Jibu lako ndio la kikeswali la kike hilo
Mwanaume hasemi utanifanyaje anarusha ngumi au tusi kisha anasubiri mrejesho.Jibu lako ndio la kike
Ndio maana na kwambia una majibu ya kike sasa unarusha ngumi wakati mtu mmeshika mguu wa kukuMwanaume hasemi utanfanyaje anarusha ngumi au tusi kisha anasubiri mrejesho.
Kweli Mkuu au nipige hujui mtu ana silaha Gani!Kifo ni Kifo tuu!Habari wanajf,
Mimi nauliza tu watu mnapata wapi hii nguvu na ujasiri wa kumuliza mtu uliyegombana naye .
"Utanifanya nini ??"
Ivi unahisi hana cha kukufanya...
Ndo mrejesho huo, anakufyatua chali.Ndio maana na kwambia una majibu ya kike sasa unarusha ngumi wakati mtu mmeshika mguu wa kuku
Mara nyingi tunawauliza waume zetu wasio na pesa Wala nguvu za kiume! Huku shingo zimetusimama.swali la kike hilo
Na muda wowote...sekunde yaan!Kweli Mkuu au nipige hujui mtu ana silaha Gani!Kifo ni Kifo tuu!
muwe makini sasa hivi p didy ametufundisha kituMara nyingi tunawauliza waume zetu wasio na pesa Wala nguvu za kiume! Huku shingo zimetusimama.
Matokeo yake anakufanya kitu.