Unapata wapi ujasiri wa kufanya mapenzi juu ya kaburi?

Unapata wapi ujasiri wa kufanya mapenzi juu ya kaburi?

Hii haishangazi sana kama Gesi yetu kupewa majirani bureeee, benzi ya zawadi kwa mstaafu, na mstaafu mwingine kasri, halafu hapohapo Bi Mkubwa anaahirisha mechi baada ya raia kunyang'anywa hela zao. Hii ni zaidi ya majanga kumi makubwa ya kitaifa.

We need change of the so-called leadership.
Hahahaha
Jf bn
 
Zinaa ni zinaa tu, haijalishi zinaa hiyo inafanywa wapi. Iwe inafanyiwa Ikulu, Kanisani, Msikitini, Makaburini, Guest house au popote pale, bado zinaa inabakia kuwa "zinaa" na adhabu yake ni ile ile.
Usifikirie kuwa yeye anayefanya zinaa makaburini ana adhabu kubwa kuliko wewe unayefanya zinaa chumbani kwako. Wote mfanyao zinaa adhabu yenu ni moja = moto usiozimika.
Watu washajitoa ktk imani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kusoma mitandaoni kwamba katika sehemu ambazo watu hupenda kufanyia mapenzi makaburini ni sehemu mojawapo. Nilishangaa sana kusema kweli. Nikajisemea binadamu tunatofautiana sana.
Tena unachagua lile kaburi ambalo Lina msalaba mkishika ule mzigo unakaa saizi kabisa maana mengine yanajengewa chinichini mpk inakufanya na wewe ubendi kidogo wale wa kinondoni wananielewa
 
Aisee, Dunia ina mambo.

Wiki iliyopita Jumamosi mtaani kwetu mida ya saa 7 usiku, gari ya polisi ilisimama wakaweka roadblock kuwakamata wazururaji.

Ukikamatwa unakaguliwa, unajieleza kama maelezo hayatoshelezi unapigwa pingu ukaeleze zaidi kituoni

Na mgambo wakawa wanazagaa sehem tofaut tofaut.

Wengine kwa mguu wengine na pikipiki, wanaokamatwa wanaletwa lilipo gari na kurushwa kichura chura na kujieleza.

Mi mwenyewe nilikua mmoja wao, nilidakwa natoka stendi kumpokea mgeni wangu.

Cha kushangaza, waliletwa watu wanne, wanaume wawili na wanawake wawili wamekamatwa wanafanya mapenzi maeneo ya kuzika wafu (makaburini).

Nao wakawa wanarushwa kichura chura, uku wakifokewa na askali kwanini wafanyie mapenz makaburini. Aisee ilinishangaza sana,

Sema kwa jinsi walivokua wanatia huruma, hawana hata cha kujieleza.

Sisi wengine tulijikuta kwenye wimbi la kicheko, japokua na sisi wenyewe tulikua kwenye majanga.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwa minong'ono iliyokua inaendelea pale, ilionyesha

-pea ya kwanza, mwanaume ni mme wa mtu mwingine na mwanamke ni mke wa mtu mwingine.

- pea ya pili, mwanaume ni bodaboda singo na binti ni mwanafunzi wa chuo.

Kulipokucha hapa kijiweni kwetu kazini ikawa ndio stori, cha kushangaza baadhi ya vijana na watu wazima wakasema "hiyo ni ajali kazini" Nikauliza kwanini, Baadhi ya vijana wakasema ilo mbona ni kawaida kabisa na wala halihusiani na imani za kishirikina na wengi wamefanya hivyo na wala hamna baya lolote limewapata.

Wengine wakatia na utani kabisa kuwa huwa wakienda kuzika na wakaona kaburi linawekwa marumaru (tiles), basi mioyo ya usuuzika sana. Wanasema ujenzi wa siku hizi wa kuwekea kaburi marumaru (tiles) maana kile kiubaridi cha tiles kinasisimua sana.

Wengine wakasema, Hata wakikatiza makaburini wakaona kaburi lenye tiles na msalamba mkubwa wa zege basi miili yao husisimka sana.

Wengine wakasema, Wanawake wenyewe saa nyingine ndio wanapendekeza maeneo ayo kwa kusema huko ndio sehem salama zaidi kuliko majumbani kwao au lodge au gesti house.

Wana JamiiForums, hii imekaaje wakuu[emoji848]

Nilijua Nina dhambi za ajabu peke yangu mmh
 
Tena unachagua lile kaburi ambalo Lina msalaba mkishika ule mzigo unakaa saizi kabisa maana mengine yanajengewa chinichini mpk inakufanya na wewe ubendi kidogo wale wa kinondoni wananielewa
[emoji1][emoji1][emoji1] dunia Ina Mambo AISEE, Binadamu tuna guts tofauti Sana.

kwaiyo mkuu ukifika makaburini unaanza kuchagua kabisa kaburi la kufanyia show.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama ni nyege ziko sehemu chungu nzima ikiwemo vichochoro, pembeni ya barabara ambayo haiko busy kwa watu na magari etc lakini makaburini sijaenda.
Nilivunja had msalaba wa watu maskin
 
utamu popote, nimetomb a sana waitresi wa BreakPoint Kino, juu ya zile kaburi oppozit yake
Dah pale jirani na Tunisia Rd miaka ile , kila kitu walifanya hata uporaji wadada warembo usiodhani na wakaka
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣just imagine this situation hahahahahaha wachawi wanakuja kwenye shughuli zao za kuwanga na wewe uko juu ya kinena unakata viuno aisee unaweza kufa kwa woga hahahahaha Mshana Jr
Uraibu wa hatari Sana huo,

Just imagine, Ndo uko katikati ya show wachawi nao wamekuja kuchukua mtu wao hapo hapo kaburini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]just imagine this situation hahahahahaha wachawi wanakuja kwenye shughuli zao za kuwanga na wewe uko juu ya kinena unakata viuno aisee unaweza kufa kwa woga hahahahaha Mshana Jr
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]unajificha pembeni afu unashuhudia wanafufua msukule wao, wanampakia kwenye ungo, wanawasha chombo ungo unainuka na wanakwenda naye.

Iyo vibration unaeza jikojolea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom